Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,959
- 2,176
Wakuu heshima kwenu.
Niende kwenye mada husika. Nimepata ujumbe kutoka kwa YoWhatsapp ikinitaka nitumie Official Whatsapp.
Nawezaje ku-link messages za YoWhatsapp na Whatsapp ya kawaida, coz wakiipiga ban natumai msg zote zitafutika na kuanza upya.
Sasa nawezaje ku-solve hili suala aidha, nitumie hiyo hiyo Yo kwa kuifanyia manoeuvre isipogwe ban au kutumia Whatsapp ya kawaida ikiwa na chats za zamani wakuu...?
Naombeni msaada wenu tafadhali. Thanks...!
Niende kwenye mada husika. Nimepata ujumbe kutoka kwa YoWhatsapp ikinitaka nitumie Official Whatsapp.
Nawezaje ku-link messages za YoWhatsapp na Whatsapp ya kawaida, coz wakiipiga ban natumai msg zote zitafutika na kuanza upya.
Sasa nawezaje ku-solve hili suala aidha, nitumie hiyo hiyo Yo kwa kuifanyia manoeuvre isipogwe ban au kutumia Whatsapp ya kawaida ikiwa na chats za zamani wakuu...?
Naombeni msaada wenu tafadhali. Thanks...!