Search results

  1. J

    Ukuzaji wa vifaranga (kuku) sehemu isiyo na umeme

    Habari zenu wanajamvi ? Nimeamua kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji bahati mbaya nafugia kijijini umeme haujafika nilianza na kuku 100 tetea wakiwa zaidi ya 80 sasa nashukuru Mungu ninavifaranga zaidi ya 100 Niliamua kuwatenganisha kuku wenye vifaranga kwenye banda jingine pembeni nikizani...
  2. J

    Mgao wa umeme kimya kimya -Songea

    kumekua na kero ya umeme kukatwa kila siku bila hata Matangazo na hatujui nini tatizo,ni week ya tatu sasa tangu kero hiyi kuanza mlioko Songea mtakua shahidi,Hivyo tunaomba Tanesco watueleze wananchi kinachoendelea .'information is power"
  3. J

    kwa wanaomba omba second round Tcu na walikua wamechaguliwa vyuo ambavyo hawakuomba

    Jamani ninamdogo wangu alichagulwa chuo ambacho hakuomba kkulingana na Tangazo lililo wekwa kwenye Hope page ya TCU (tcu.co.tz: The Leading TCU Site on the Net) nimejaribu kumuombea second round lakini napata sms hiii.."DEAR APPLICANT!!,APPLICATION AND ADMISSION PROCESS IS DONE ONLY ONCE PER...
  4. J

    Kwa waliochaguliwa vyuo ambavyo hawakuviomba

    Jamani naomba msaada kunabinamu yangu kachaguliwa chuo ambacho hakuomba ila kwenye Selection status yake ya chaguo la kwanza hajaandikiwa chochote ila chaguo la 2 hadi 8 kaandikiwa not Adimitted....swali langu je ni wote ambao mmechaguliwa vyuo ambavyo hamkuomba kuna kitu hiocho kwenye selection...
  5. J

    Hivi hata walimu walio inservice watapewa mkopo na serikali?

    Naomba kusaidiwa mm ni mwalimu (Diploma Holder) masomo ya Sayansi Geography anda Chemistry nimeomba kusoma Degree Education katika masomo hayo na niliomba mkopo pia lakini nasikia kunatetesi Eti sisi tulio in service hatupati mkopo je ni kweli au msaada kwa mwenye jibu..nashukuru Mungu niko...
  6. J

    TCU kitu hichoooooooooooooooo selection zimetokaaaa!!!

    Dear Applicants, The second round for the admission into Central Admission System is officially opened from 13th August, 2012 to 25th August,2012.Those who did not apply or could not be admitted during first round are adviced to make...
  7. J

    Je hiii ni njia sahihi kweli ya kujua kama kweli umepata chuo? (kutoka TCU)

    Jamani naomba kunukuu hii post "Ingia web ya TCU na ulog in kwenye account yako.Nenda kwenye profile yako uclick hapo.Profile ikifunguka nenda kaclick kwenye application 2nd round.Baada ya kuclick itakuja option ya add code ya program kwa ajili ya second round ya selection.Ukiaad hiyo code...
  8. J

    Hivi mtu mwanaume mwenye korodani moja anauwezo wa kuzalisha?

    Jamani naomba kuuliza hvi mwanaume mwenye korodani moja anauwezo wa kuzalisha? ikiwa anatoa mbegu kwa kutumia korodani moja tu naomba msaada wenu?
  9. J

    Kwanini wafanyakazi wa mashirika ya umma na serikalini hawapigi kelele sheria ya Hifadhi ya Jamii?

    Jamani nashangazwa hv ni kwa nn wafanyakazi wa mashirika ya umma/Serikalini..mfano walimu,madakitari,mapolisi,Tanesco,TRA hawajapigia kelele hiyi sheria mpya ya kupewa mafao baada ya miaka 55 na kuendelea?..inamaana wao hawako katika mifuko hiyo au inakuaje?.
  10. J

    Ni magazeti yapi? (taja) yanayofichua uovu wa serikali na yapi yanatumiwa na mafisadi?

    kwa uelewa wangu mdogo najua mwanahalisi linaongoza kwa kusema ukweli na kufichua maovu ya serikali lakini ningependa kutajiwa magazeti mengine yanayojitahidi kufichua na yale ya kishezi ni yapi yanayotumiwa na mafisadi kukumbatia uovu nitajie na mmiliki wake Plse.
  11. J

    Sakata la mifuko ya hifadhi ya Jamii limefikia wapi?

    Jamani naomba kuuliza hvi ile sheria mpya iliyopitishwa ndo itaendelea kweli au Bunge limefikia wapi maana binafisi naona kimya tu au ndo watu wameridhika?
  12. J

    Ni kwa nini wanawake (watu wazima) wasio olewa wanamaamuzi ya kibabe?

    Jamani wanajamii naomba mnisaidie nimeshuhudia wanawake wengi ambao hawajaolewa mfano Anna Makinda wanakuwa na maamuzi ya kibabe na yasiyo husisha busara tatizo huwa ni nn?
  13. J

    Ni kwa nini wanawake (watu wazima) wasio olewa wanamaamuzi ya ubabe?

    Jamani wanajamii naomba mnisaidie nimeshuhudia wanawake wengi ambao hawajaolewa mfano Anna Makinda wanakuwa na maamuzi ya kibabe na yasiyo husisha busara tatizo huwa ni nn?
  14. J

    Mwenye update ya Mhando (mkurugezi wa Tanesco aliyesimamiswa)

    Jamani nomba kuuliza kama kunamtu anajua nn kinaendelea juu ya huyu jamaa maana isije ikawa anarudi bana maana nilisikia kunawabunge pamoja na kamati ya nishart walikua wanamtetea sijui imefikia wapi?
Back
Top Bottom