jaridotcom2
Member
- Jul 26, 2012
- 62
- 11
Jamani wanajamii naomba mnisaidie nimeshuhudia wanawake wengi ambao hawajaolewa mfano Anna Makinda wanakuwa na maamuzi ya kibabe na yasiyo husisha busara tatizo huwa ni nn?
Jamani wanajamii naomba mnisaidie nimeshuhudia wanawake wengi ambao hawajaolewa mfano Anna Makinda wanakuwa na maamuzi ya kibabe na yasiyo husisha busara tatizo huwa ni nn?
Hiyo ndio sababu yakuto olewa.
Anna Makinda pekee si kioo cha tabia za wanawake ambao hawajaolewa... Hivyo basi, ilikuqualify hoja yako, ingekuwa vema ukaja na data/takwimu wakilishi.
Sawa najua Anna makinda sio kioo lakini nimetoa kama mfano ila nilishawaona wengi sana wa namna hiyo lakini nimeamua kutoa mfano kwa Makinda maana yeye anafahamika na wengi so nipe sababu sasa nazani umenielewa
They learn how to stand up for themselves. So ile missing link wana-create bridge ya ubabe.
Jamani wanajamii naomba mnisaidie nimeshuhudia wanawake wengi ambao hawajaolewa mfano Anna Makinda wanakuwa na maamuzi ya kibabe na yasiyo husisha busara tatizo huwa ni nn?
Mkubwa; ebu leta mifano hai kama miwili au mitatu hivi, ili tuweze kuamini usemalo!
Kama hutaki kuamini kakojoe ulale maana inavyoelekea hujatembea ukaona maana hata nikikutajia watu ninaokaa nao huwezi kuwajua