Hallow fellows
I am looking for Human Resource Information System please
If you have it, or you know where I can download the best one, help me please
Thanks in advance
Sisi watanzania tutakuwa na matatizo sana jamani
Tuna matatizo kibao yanaendelea nchi mwetu lakini cha ajabu ni kuwa
kwanza ni wepesi wa kusahau mambo, ukiuliza hapa mambo ya majina ya wauza unga na majambazi aliyosema President anayo na akaahidi kuwashugulikia, utashangaa
Ndugu Watanzania napenda kutoa maoni yangu ambayo kwa namna moja au nyingine, nimekuwa nikiumia sana tena sana kwa mambo ambayo yanatokea Tanzania
Katika Hospitali zetu tumekuwa na matatatizo kibao ambayo yanasababisha vifo vya kujitakia na vya kizembe, nasema haya kwa sababu nyingi tu
1...
Tunakuomba wewe mtanzania, Kiongozi mwanasiasa, Tajiri na mwenye uwezo wa aina yoyote ile, utuwezeshe kwa namna yoyote ile tuweze kuponya maisha ya huyu ndugu yetu, Pia tunakuomba raisi hawa ndo watu wa kuwasaidia
Haya ni Maelezo ya Binti huyo na picha ziko chini hapo,
Admin naomba kuiweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.