Hallow Doctors
Kwakuwa ulimwengu wa technolojia umekuwa, sio lazima kukutana Don Bosco wala starlight, njooni tupeane updates na kuzungumza yanayotuusu na jinsi ya kuendeleza vikao vyetu mpaka kieleweka hapa JF. kama huna account ya JF tengeneza plz
Twende kazi
Daima Ukitaka kuonekana mbaya dai haki yako!Mikono yenu imejaa damu za watz masikini wasio na hatia, mlaaniwe nyie na vizazi vyenu pamoja na wote wanaowasapoti.
Mikono yenu imejaa damu za watz masikini wasio na hatia, mlaaniwe nyie na vizazi vyenu pamoja na wote wanaowasapoti.
Hujui usemalo; damu imetoka wapi hapa kwani wamemwua mtu hawa?. hawajawafanya watu waugue, wale wapate ajali useme wao ndio chanzo cha matatizo yao. Mkuu tumia kichwa kufikiri ukifikiri kwa kiungo kingine lazima utasema unayoyasema.Mikono yenu imejaa damu za watz masikini wasio na hatia, mlaaniwe nyie na vizazi vyenu pamoja na wote wanaowasapoti.
Nadhani hata mungu yuko na maDr kwa mgomo huu..Mikono yenu imejaa damu za watz masikini wasio na hatia, mlaaniwe nyie na vizazi vyenu pamoja na wote wanaowasapoti.
Niko busy na wagonjwa hapa Amana nikimaliza nitaingia kikamilifu JF, mliopo endeleeni na mjadala.... nitawajoin baada ya saa za kazi!
Wamejaa damu mikononi na wamesaliti wananchi wanyonge, pigeni porojo zenu lakini ukweli utasemwa tu,.Daima Ukitaka kuonekana mbaya dai haki yako!
Utaambiwa kila lugha!...mara mikono yako imejaa damu, mara msaliti...!huh!
LAANA HII IKURUDIE WEWENA KIZAZI CHAKO NA SERIKALI YA JK
MASABUrI NYIE
Wewe ndio utumie akili, maana upo completely out of touch na ninachokizungumzia. Bahti mbaya sipo hapa kutoa ufafanuzi wa posts, kaa huelewi bahati mbaya sana.Hujui usemalo; damu imetoka wapi hapa kwani wamemwua mtu hawa?. hawajawafanya watu waugue, wale wapate ajali useme wao ndio chanzo cha matatizo yao. Mkuu tumia kichwa kufikiri ukifikiri kwa kiungo kingine lazima utasema unayoyasema.
mungu huyo wa vifo basi hatufai, tuchague mwengine.Nadhani hata mungu yuko na maDr kwa mgomo huu..
Niko busy na wagonjwa hapa Amana nikimaliza nitaingia kikamilifu JF, mliopo endeleeni na mjadala.... nitawajoin baada ya saa za kazi!
Mikono yenu imejaa damu za watz masikini wasio na hatia, mlaaniwe nyie na vizazi vyenu pamoja na wote wanaowasapoti.
hujui usemalo; damu imetoka wapi hapa kwani wamemwua mtu hawa?. Hawajawafanya watu waugue, wale wapate ajali useme wao ndio chanzo cha matatizo yao. Mkuu tumia kichwa kufikiri ukifikiri kwa kiungo kingine lazima utasema unayoyasema.
Sijui unaongelea nini? labda niseme, mimi nazungumzia loss of lives of poor wananchi due to negligence & love for money by our beloved doctors.heri ya mikono iliyojaa damu kuliko mioyo iliyojaa dhuruma na ukiziwi kwa maana mikono inasafishika lakini mioyo itakufa na mwili wake na nafsi yake yenye choyo na dhuruma. songeni mbele madokta haki itapatikana kwa kuwa kadili mateso yanapozidi basi ujue neema ipo karibu najua wengi watabeba msalaba wa wenzao lakini heri ufe ukiwa shujaa kuliko kuishi ukiwa mnyonge na mwoga