Baada ya kuwararua ccm na mbinu zao sas anaendelea na kampeni huko ghadafi kwelinkamanda alisema ccm kwa pani itaondoka leo nimeona ingaa ana watu wa kawaida ila nia hiyo hakika italeta ukombozi wa kweli, good job maana binafsi nimepita na kukuta akiwa ktk harakati na watu akiwa bado wanaingia...
Asilimia 67 ya wanafunzihawataendelea na masoo ya aina yoyote maana wamefeli wote kwa mujibuwa necta,hivyo imethibitisha mgomo wa waalimu uko hai kama walivyosema wao kuwa serikali haiwezi kuwalazimisha kufundisha ingawa inaweza kuwalazimisha kwenda ktk majengo ya shule, sasa sijui kwa madaktari...
Tpa carries the loads for 7 days free,tra they ensure system is down for such period that tpa eventually will charge and this has been confirmed as a deal between tpa and tra.
Why should a car remain with tpa while actually had paid for taxes?
Tanzaniasio kama uijuavyo hata mwakyembe ana deal...
Visingizio vya kuahirisha vingi sana kama vilivyoelezwa ktk radio lakini watu wazima akili mkichwa; mlikuwa mnapima upepo wa siasa zetu; kama wewe boga basi wewe boga huwezi kuitwa jiwe.
yes walaaniwe, serikali haipo na haina aibu kama ipo hadi siku ya budget ni blackout. Jamani wataopitisha na mikofi na usanii binafsi nitashiriki washindwe na laana hii nasema itawaumbua na wataumbuka
Hakuna asiye jua CDM ilivyo kipenzi cha wana mwanza. Tunataka kauli sasa dr slaa, zitto hupokewa mwanza kama mfalme,
where is comrade mbowe, mtete wa wanyonge where is lissu na wote, tunataka kauli kwa ajili ya tukio la mwanza maana nyie ni chama tawala muache kulalamika we need a statement...
Ktk utetezi wa posho, mtoto wa mkulima Pinda alisema zinasaidia wabunge wakitoka milangoni wanakita kuna wananchi wanawaomba hela kwa mahitaji tofauti. Kwa tafsiri rahisi haijalishi ni ndugu au la wabunge wakikutana na wananchi milangoni basi watawasaidia na hiyo hela inatoka ktk posho. Sasa...
Hi wapambanaji. Someni tarifa ya takukuru ya rushwa, polisi wanaongoza kwa ufisadi, na chagonja,mwema, manumba wanafaidika na hili, so hawawezi kutenda haki dhidi yenu chadema wasema kweli na haki. Put a very clear agenda kuwa chadema inapambana na mafisadi wa serikali wa mali ya umma wakilindwa...
Ni wazo tu, kutokana na hali halisi. kiongozi na dr aliyewapiga ganzi ni dr slaa. 2007 aakataja mafisadi 11, dr hakuangalia sura hadi rais ndani, bungeni moto aliendelea kuwawashia, wakadhania watu hawaoni, ulingoni kaingia wakamdharau na kumpuuza, hali ilipozidi kuwa mbaya ikabidi wachakachue...
Hi wajumbe, nimetafakari kufananisha wachezaji wa mpira namba tano ambaye kazi yake kulinda, ni pale ambapo bila kujua hugeuka na kuanza kushambulia goli lake inakuwaje, nimepata watu wachache ktk hili, wa kwanza anayejifunga kwa sasa yupo Hamad Rashid, bila kujua anaishambulia chadema na sasa...
Kuna kundi dogo la akina makamba ambalo linafaidika na katiba iliyopo ndio kikwazo kwa uamuzi ambao kikwete ameshaukubali wa kuunda katiba mpya; anataka akumbukwe walau kwa hilo maana peoples power imeshinda uwezo kwa hoja; sasa pinda katumwa ili aanze kulainisha mambo; ili wenye vichwa ngumu...
FACT;
Kweli wewe ni rais wangu ila ulipatikana kwa wizi wa kura, na mwizi ni mwizi tu hata iweje
Du ukweli unauma sio, tetetetetete safi sana, call a spade a spade
Kuna tetesi kuwa JK ameamua kufanya kweli, baada ya Lipumba kumtambua sasa kumpa uwaziri mkuu au kuunda nae serikali ya umoja wa kitaifa kwa kuchagua akina Rashid mohamed kuwa mawaziri wa JK nk, ili kuendeleza ule muafaka wa Zanziba na huku kughiribu kuwa alikuwa bega jwa bega na wapinzani...
Wajumbe;
JK ameshatangazwa kuwa rais wa Tanzania baada ya matokeo kuchakachuliwa; ila nina hesabu kidogo; Amechaguliwa kwa 26% ya kura zore 20Mili zilizositahili, na assume yeye ndiye ametumia maxumum resources hadi uchakachuaji hatari na kupakana matope wenzanke; so asilimia 74 inabaki kwa...
Sijui kwa nini waandishi wanakubali kudanganya wananchi, rais anahutubia mkutano utaona ktk picha watu wamekaa mkutano wa ndani, hii ni nini kama sio kudanganya au siku hizi wanahutubia mikutano ya ndani tu? Nasikia watu wanaenda kuwaangalia wasanii tu wachache wanaoonyesha fiesta ya ccm...
Wajumbe hii ilikuwa taarifa ya habari ya leo ITV; wameonyesha jinsi ambavyo serikali yetu inajali wazee wake wa tangu enzi hizo; mpaka sasa imefikia mzee kafariki kwa stroke wakati akifukuzwa na gali lenye upupu
Kweli wazee wale wanachodai nakumbuka waliahidiwa wakati Awamu ya nne iinaingia...
Wajumbe je tayari hoja zimekosa kwa mkuu wetu maana ameahidi yote sasa yameisha na hana jipya tena? Je tayari ganzi inaanza kuingia taratibu na kila kisemwacho ni ahadi za miaka iliyoopita au bondia anaanda mbimu tena?; huenda kampeni zikakimbiwa mwaka huu; yetu macho
Je coverage ya Dr Slaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.