Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 130
Visingizio vya kuahirisha vingi sana kama vilivyoelezwa ktk radio lakini watu wazima akili mkichwa; mlikuwa mnapima upepo wa siasa zetu; kama wewe boga basi wewe boga huwezi kuitwa jiwe.
Maandamano yanasaidia, pia hata CDM yametusaidia sana but cha kujifunza hawa NCCR ni kwamba maandamano yoyote yale yanahitaji influence kwa umma, sasa wenyewe NCCR hawana tena influence kwa umma bkoz kafulila kashaondoka nayo.Maandamano hayawezi kuwasaidia wajifunze kutoka kwa Chadema kama yamewasaidia.
na uwezo wa kukodisha watu hawana,
naam! na kuwapikia ubwabwa au mchele, teh teh teh!Kama chama mzee !