Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 130
Wajumbe je tayari hoja zimekosa kwa mkuu wetu maana ameahidi yote sasa yameisha na hana jipya tena? Je tayari ganzi inaanza kuingia taratibu na kila kisemwacho ni ahadi za miaka iliyoopita au bondia anaanda mbimu tena?; huenda kampeni zikakimbiwa mwaka huu; yetu macho
Je coverage ya Dr Slaa kwa sasa ni danganya toto ya vyombo vya mafisadi au wamegundua kuwa huwa wakimweka jamaa watu hutoa hiyo link (TV?) maana for two days there is something news in TVs hadi Chanel Ten wametoa hotuba yake kwa mara ya kwanza (hopeful maana sijaona)
Kila palipo na ukimya wa Mkulu huwa kashfa mpya inaibuliwa (kumbukeni mapumziko ndio wakaibua issue ya Kesi ya bilioni moja); ngoja tuangalie in next few days au ndio zile za zamani kumfumania Dr Slaa ili kumharibia kama walivyotia hofu kabla naye akawajibu kama wanavyotaka
Dr Slaa Go Ahead; Go Ahead; Go Ahead; we are on youer behind for good of our Tanzania
Je coverage ya Dr Slaa kwa sasa ni danganya toto ya vyombo vya mafisadi au wamegundua kuwa huwa wakimweka jamaa watu hutoa hiyo link (TV?) maana for two days there is something news in TVs hadi Chanel Ten wametoa hotuba yake kwa mara ya kwanza (hopeful maana sijaona)
Kila palipo na ukimya wa Mkulu huwa kashfa mpya inaibuliwa (kumbukeni mapumziko ndio wakaibua issue ya Kesi ya bilioni moja); ngoja tuangalie in next few days au ndio zile za zamani kumfumania Dr Slaa ili kumharibia kama walivyotia hofu kabla naye akawajibu kama wanavyotaka
Dr Slaa Go Ahead; Go Ahead; Go Ahead; we are on youer behind for good of our Tanzania