Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 130
Wajumbe hii ilikuwa taarifa ya habari ya leo ITV; wameonyesha jinsi ambavyo serikali yetu inajali wazee wake wa tangu enzi hizo; mpaka sasa imefikia mzee kafariki kwa stroke wakati akifukuzwa na gali lenye upupu
Kweli wazee wale wanachodai nakumbuka waliahidiwa wakati Awamu ya nne iinaingia 2005; wakatulia ilikuwaje? Nashangaa sana je hawa wanaweza kuwa ndio watakaomwangusha Mheshimiwa sana anayepiga kampeni na familia yake tu?
Je kuna haja kutumia nguvu kiasi kile kwa wazee ambao hakika wamejichokea namna ile? Naona tunajichumia laana zaidi kama taifa kweli
RIP EAC old worker; God will put you in good place Amen
Kweli wazee wale wanachodai nakumbuka waliahidiwa wakati Awamu ya nne iinaingia 2005; wakatulia ilikuwaje? Nashangaa sana je hawa wanaweza kuwa ndio watakaomwangusha Mheshimiwa sana anayepiga kampeni na familia yake tu?
Je kuna haja kutumia nguvu kiasi kile kwa wazee ambao hakika wamejichokea namna ile? Naona tunajichumia laana zaidi kama taifa kweli
RIP EAC old worker; God will put you in good place Amen