Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 130
Ktk utetezi wa posho, mtoto wa mkulima Pinda alisema zinasaidia wabunge wakitoka milangoni wanakita kuna wananchi wanawaomba hela kwa mahitaji tofauti. Kwa tafsiri rahisi haijalishi ni ndugu au la wabunge wakikutana na wananchi milangoni basi watawasaidia na hiyo hela inatoka ktk posho. Sasa naomba serikali iweke wazi tuanze kutembelea waanchi wote wa Tanzania tuwatembelee wa8unge wetu tupate chetu yaani posho inayochukuliwa kwa ajili yetu. Wananchi zaidi ya milion 30 watu wazima watembelee dodoma sasa na ukifika omba hela maana imeshachukuliwa na mbunge wako kama posho ya wananchi kwa kazi hiyo. Naomba wananchi walitekeleze hilo na bila uoga pia wabunge sasa wasilalamike au kutoa maneno mengi maana kwa tamko la pinda maanake ile ni haki ya wananchi na vema waichukue yote ndio itakuwa imefanya kazi yake. My take: Namuomba sana Pinda kama kuna kitu hana jibu nalo kama yeye maana yeye ni mtu wa kupokea tu maagizo hata kama pumba basi aitahidi kuwa anachanganya na za kwake au awe anaomba muda kutoa ufafanuzi kuliko anavyojiaibisha