Meza kuu
M'kiti wa Wanawake Mhe. Maryam Khamis na Baybe Mgaza
katibu mwenezi wa chadema mhe.Husseni kauzera maarufu kama DJ RoKatibu mwenyekiti wa upande wa wanawake Mhe. Baby Mgaza
M'kiti wa tawi la Washington DC, Maryland na Virginia (DMV) mwana Cosmas Wambura
Aliekuwa katibu wa uongozi...
M4C SIO YA DR. SLAA WALA MH. MBOWE NI YA...
Tatizo MAGAMBA wanafikiri M4C ni Mh. Mbowe AU Dr. Slaa... FYI. MAGAMBA, M4C ni wananchi walio choshwa na sera za MAGAMBA, na tunataka mabadiriko.... NI MABADILIKO TU.
HAYA MABADILIKO HAYAZUILIKI= CHANGE IS INEVITABLE.
Nasubiri ratiba ya M4C kwani...
CHADEMA na watanzania wote Washington DC, Maryland, Virginia na east coast kuaga 2012 pamoja. Ni kukutana kwa ajili ya holiday season, kujadili yanayo jili nyumbani na kwenye mazingira yetu. Mtu yeyote anakaribishwa bila kujali itikadi wala imani yake. CHADEMA HAIBAGUI, IPO KWA KUTENGENEZA...
CHADEMA: MAGAMBA WATATU VUNJA VUNJA BILA ROYALTY:
MAKAMANDA WA CHADEMA: Tuwe waangarifu sana, tushikamane, tuwe royal kwa chama chenu, tusikubali kurubuniwa. Huu ni wakati mgumu kuliko wote, wakati ambao MAGAMBA wanatumia kila njia kutu vunja vunja " KUTU BREAK". Moto wa M4C ni mkali na...
CCM NA JK WAZIVUNJA KATIBA ZA NCHI NA CHAMA , RAIA WA MAREKANI WAPIGA KURA DODOMA. MAJINA HAYA HAPA
RAIA WA MAREKANI NA UINGEREZA WASHIRIKI MKUTANO WA CCM DODOMA, WATUMIWA NAULI KUSHIRIKI MKUTANO NA KUPIGA KURA. ZILITUMWA TICKETS 40 KWA MKOA WA DIASPORA, UINGEREZA, CHINA, INDIA MAREKANI N.K...
HAWA WAMEANZA KUTUSIKILIZA, NA BADO TUNAMIPANGO KABAMBE YA KUIJURISHA DUNIA
http://www.ippmedia.com/frontend/index.php?l=46080
United Nations News Centre - UNESCO chief denounces killing of Tanzanian journalist
NENDA CNN iReport KUKOMENT, KUSHARE NA RECOMEND HII HABARI YA MWANGOSIPetition...
SAHIHI YAKO NI MUHIMU SANA HAPA;
MAKAMANDA HII NI MUHIMU. Tafadhari fuata LINK hapo chini. Andika jina lako email na anuani yako. Kwa ambaye yupo Tanzania zip code weka 0000 na CLICK outside USA utapata option ya kuingiza nchi. Lengo ni kuijurisha dunia kuhusiana na UKIUKWAJI WA HAKI ZA...
Tafadhari fuata LINK hapo chini. Andika jina lako email na anuani yako. Kwa ambaye yupo Tanzania zip code weka 0000.
Petition | Government of Tanzania: Stop police violence against peaceful demonstrators and journalists | Change.org
Lengo ni kuijurisha dunia kuhusiana na UKIUKWAJI WA HAKI ZA...
MAANDAMANO KUPINGA MAUWAJI YA KINYAMA YANAYO FANYWA NA JESHI LA POLISI TANZANIA KUFANYIKA WASHINGTON DC. MAREKANI
Mandamano ya kupinga mauwaji ya kinyama yanayofanywa na Jeshi la Polisi Nchini Tanzania, yatafanyika Washington DC. Baadhi ya waTanzania waishio Maryland, District of Columbia na...
Mheshimiwa ,tulifikiri ni mtu makini kumbe na wewe una matatizo ya akili.Unajua ulishawahi kuwa mwenyekiti wa TANAPA?.wewe umehusika moja kwa moja kuuza wanyama,na kutoa leseni za kuua wanyama eti kwa akili yako ni kukuza uchumi wa nchi,Leo unakuja na mawazo yako kuwa Chadema hawezi kuongoza...
WANAHARAKATI NA WAPENDA MABADILIKO WAMESEMA HAWATAENDA KWENYE UFUNGUZI WA TAWI.WAKATI WATOTO WAO WANASOMA HAPA USA KWA PESA ZA SERIKALI.INGEKUWA BORA KUSAIDIA WATOTO WASIO NA UWEZO WA KWENDA SHULE NA KUPATA CHAKULA. NA SIO KULETA PESA HUKU USA KWA AJILI YA KUJAZA WATU ,PIA KUWALIPIA...
Tofauti na vyama vingine na wanachama wake uchangisha pesa kupeleka nyumabni kwa ajili ya shughuli za uchumi .sasa hivi magamba wameleta pesa nyingi ili kufanikisha ufunguzi wa tawi lao.yaani kuonyesha kuwa kuna watu wengi.watu wamelipiwa tiketi za ndege na malazi wakiwa hapa washington dc.sasa...
-Kutoa idea chanya kwa CHADEMA, mfano, blogs, security ya viongoz (nyumba zao kua na camera), kutengeneza ushahidi mikutanoni (kila mkutano uweunarekodiwa manake magamba wakishindwa wanatupeleka mahakamani kuwa tulicheza faulo kwenye uchaguzi-Ulinzi kwa Viongozi wanavyo kuwa matembezini na...
MCHUNGAJI NGWAJIMA TUNAOMBA MAELEZO
Ni kweli kuna mtu alikuja kutubu na kueleza dhambi zake kwako na ukamtosa kwa kumpeleka polisi? iweje aje kanisani kwako na si kwingine au ndio uhusiano ulionao na chama na serikali, maana hata mkutano wa jangwani (cdm square) wa kuijibu chadema ni vyombo...
Ndugu zangu mapambano kila kona mambo yanakwenda vizuri sana huku nje.Sasa tumeanza kukandamiza kwenye vyombo vya habari huku nje sasa hivi.Hii redio ni maarufu sana inayozungumzia siasa hapa Washington DC.
Inasikika karibu nusu ya United state of americaW
ale walikuwa wananenepa kwa...
DOCTORS' ETHICAL DILEMA IN TANZANIA;
To my understanding Ethics involve doing "good" and causing no harm to yourself, your family, friends and others. Ethical dilemma can be made resulting in neither choice being a "right or wrong" decision. There is no "RIGHT" solution to an ethical dilemma...
Tanzania imefika sehemu ambao lazima tuiadabishe serikali hii.Tukikaa kimya janjaweed watakuja kwako au ndugu yako.Tushirikiane wote kukemea na kuwatenga hao janjaweed na serikali ya ccm.Matukio yaliyopita ni mengi na kwa hakika inaonyesha serikli kuwa na mkono wake.Sasa tusikae kimya hawa...
https://www.facebook.com/chademadiaspora KARIBU CHADEMA DIASPORA FACEBOOK PAGE "LIKE" IT PLEASE!
​
https://www.facebook.com/chademadiaspora KARIBU CHADEMA DIASPORA FACEBOOK PAGE "LIKE" IT PLEASE!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.