MAANDAMANO KUPINGA MAUWAJI YA KINYAMA YANAYO FANYWA NA JESHI LA POLISI TANZANIA KUFANYIKA WASHINGTON DC. MAREKANI
Mandamano ya kupinga mauwaji ya kinyama yanayofanywa na Jeshi la Polisi Nchini Tanzania, yatafanyika Washington DC. Baadhi ya waTanzania waishio Maryland, District of Columbia na Virginia (DMV), wamedhamiria kufanya maandamano kupinga kitendo cha Mauwaji dhidi ya raiya yanayofanywa na Jeshi la Polisi kwa raiya pinzani, na haswa kitendo cha hivi karibuni cha kumuua mwandishi wa habari wa kituo cha Channel Ten mkoani Iringa, Daudi Mwangosi.
Tetesi hizo zinaendelea kubaini kwamba vitendo hivyo vyakinyama vilivyofanywa na serikali havitovumiliwa kamwe na wanaDiaspora waishio nje ya nch. Tarifa za maandamano hayo tutawaletea zaidi pindi maandalizi ya kikamilika zaidi kwa mwenye machungu ya vitendo hivyo mnaombwa kujumuika zaidi.
TAFADHARI KAMA UTAHUZURIA MAANDAMANO, NJOO NA PICHA YOYOTE INAYO HUSU MAUAJI NA VITENDO VYA KIKATILI VINAVYO FANYWA NA SERIKALI NA PLISI WA TANZANIA.
TEGA SIKIO.
View attachment 64295
Mandamano ya kupinga mauwaji ya kinyama yanayofanywa na Jeshi la Polisi Nchini Tanzania, yatafanyika Washington DC. Baadhi ya waTanzania waishio Maryland, District of Columbia na Virginia (DMV), wamedhamiria kufanya maandamano kupinga kitendo cha Mauwaji dhidi ya raiya yanayofanywa na Jeshi la Polisi kwa raiya pinzani, na haswa kitendo cha hivi karibuni cha kumuua mwandishi wa habari wa kituo cha Channel Ten mkoani Iringa, Daudi Mwangosi.
Tetesi hizo zinaendelea kubaini kwamba vitendo hivyo vyakinyama vilivyofanywa na serikali havitovumiliwa kamwe na wanaDiaspora waishio nje ya nch. Tarifa za maandamano hayo tutawaletea zaidi pindi maandalizi ya kikamilika zaidi kwa mwenye machungu ya vitendo hivyo mnaombwa kujumuika zaidi.
TAFADHARI KAMA UTAHUZURIA MAANDAMANO, NJOO NA PICHA YOYOTE INAYO HUSU MAUAJI NA VITENDO VYA KIKATILI VINAVYO FANYWA NA SERIKALI NA PLISI WA TANZANIA.
TEGA SIKIO.
View attachment 64295