Jamani, wale wataalam wa afya kama Dental Therapists na Clinical Officers wanataka kusoma ADO au AMO mwaka huu wasibweteke kuomba shule Kusoma ADVANCED DIPLOMA.
Application zote zipo kupitia website ya NACTE. Naambiwa inaenda hadi July maombi hayo yatatapofungwa. Tafuta kozi unayotaka kutokea...
Ubabe wa serikali haukuuzi uchumi wa nchi, bali nchi legelege isiyokwenda kijasiliamali hubakia ombaomba na kuwa mtumwa wa kudumu. Serikali kaidi haijifunui upevu wake kwa njia ya kiuchumi bali viongozi wasio adilifu huififisha nchi Nyerere Julius Kambarage Mwalimu alisema mara kadha kwamba...
Nimepata habari kutoka Mbeya kwamba wafanya biashara Jijini humo wamefunga maduka yao kuonyesha mgomo halisia, jana na leo hata wafanya biashara wadogo walio waoga wamegoma mpaka wakubwa waridhie. Kuna nini huko walioko Jijini Mbeya tujuzeni. Ama ndio vita ya TRA? maana TRA mkoa wa Mbeya na...
Jana nimeshtuka kusikia kwenye taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku, ikieleza kwamba mapolisi wamepiga marufuku wimbo wa CHADEMA unaoimbwa na wafuasi wake kuhamasishana.
Kilichonishangaza zaidi ni uamuzi wa Polisi kupiga marufuku shughuli na harakati za chama cha siasa badala ya wanasiasa...
Sijadili udini hapa, lakini ukitafakari kidogo tu utagundua kwamba waislam hupoteza fursa nyingi zinazopatikana kwa kutumia jazba zisizo na tija. Heri kurudi nyuma kutafakari na kujipanga upya namna ya kuendelea mbele kama kweli kuna lengo lenye maana kwa nchi na watu binafsi.
Wakati wa Nyerere...
Sasa mamodi sijaelewa, nimeleta asubuhi mchango wangu na ukatokea na kupotea. Kwa kawaida mnasema kama ni kitendo cha makusudi. labda kichwa kilikuwa kibaya. kwa kuwa bado nadhani mawazo yangu yanafaa kuyatafakari kwa nia njema kabisa na kujengana kwa kuikuza amani ya nchi yetu na ili kujiletea...
Yahoo friends
Words to live by, please read to the end. The last wishes of Alexander the Great:
On his death bed, Alexander summoned his generals and told them his three ultimate wishes:
1. The best doctors should carry his coffin;
2. The wealth he has accumulated (money, gold, precious...
From Yahoofriends
MAMA'S BIBLE
Four brothers left home for college, and they became successful doctors and lawyers. One evening, they chatted after having dinner together. They discussed the 95th birthday gifts they were able to give their elderly mother who moved to Florida .
The first...
From Yahoofriends
A little boy died in Brazil after eating MENTOS and drinkingCoca-Cola / PEPSI together. One year before the same accident happened with another boy in Brazil . Please check the experiment that has been done by mixingCoca-Cola (or Coca-Cola Light) with MENTOS
So be careful...
Kutoka Mtandaoni Yahoo
Typical Female
JEALOUSY
A woman wanted to reach her husband on his mobile phone but discovered that she was out of credit, she instructed her son to use his own phone to pass across an urgent message to his daddy who was on site. After junior had called, he got back to...
From Yahoofriends
If you were the man, what would you do....?
A man was going on a trip and the wife helped him pack his clothes in a bag.
When he was about to leave, the wife handed him a box of CONDOMS and said: "Honey, take this with you, in case of temptations".
With a broad smile...
Source Yahoofriends
Mie sijui kama umeiona hiyo samahani. Endelea
Sala Kuu: MOSHI: Mungu Onesha Sehemu Hela Iko
Viitikio:
1. Hata Ikipungua Mungu Ongeza! (HIMO)
2. Mungu Angalia RAia NGawira Utuhakikishie! (MARANGU)
3...
Kutoka Yahoofriends
Haya ni matokeo ya Tiba ya Babu Ambi
MCHUNGAJI Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Masapile Babu Ambi (pichani), anaendelea kusakamwa na wagonjwa wanaodai hawakuponyeshwa na dawa yake, wapo walioweka nia ya kumburuza Mahakamani...
From Yahoofriends.
"KUMEZUKA WIMBI JIPYA LA UHALIFU, HII IKO NAMNA HII:- UNAKUTA MFUKO WA NYLON( MAARUFU KAMA MIFUKO YA CONDOM,RAMBO,PLASTIC) BARABARANI . UKIUKANYAGA TU LAZIMA UTAPATA PUNCHER MAANA NDANI YAKE KUNA KIBAO KILICHOPIGILIWA MISUMARI ZAIDI YA UNAVYOFIKIRIA WEWE. UKISHUKA GARINI...
Nimeulizwa na Yahoofriends sijapata jibu. Tusaidiane kijibu:
OTEA LISA ATAKUWA KABILA GANI???
utaipata kwa Laki...
John alimwalika rafiki yake Fred nyumbani kwake kwa ajili ya dinner na vinywaji. Baada ya maakuli na wakati vinywaji vinaendelea John, mkewe John (Lisa) na mgeni wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.