Wakenya tangu mwaka 1972 walianzisha harambee kupeleka watoto wao kusoma Marekani, Uingereza, na kwingineko. Wabongo kazi yao kuendekeza harusi tu. Sawa na mijitu mingine haitaki kuchngia wagonjwa wasio na uwezo ili wakatibiwe, lakini haohao hujifanya kuandika michango minono kununulia majeneza na sanda na mapombe msibani ati marehemu alikuwa rafiki yao sana. Kudadadeki mi nikifa usilete hata senti moja kama hutaki kunichangia nitibiwe. Nitakuona tu ukichanga na ntakutumia laana uharibikiwe mipango yako. Msaidie mtu kwa tija, asome apate maarifa asaidie na wengine. Harusi wachangia mipombe hata waakilewa watu huanza ufuska palepale harusini na kuokoteza miwaya???????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.