Yani lite alafu ndio unajifungia chumbani?? achana na hio itakuchelewesha sana kugundua unachotaka kufahamu. Vuta nondo aka Safari lager, mdomoni ladha tamu hizo utakunywa nyingi alafu sasa ndio utapata majibu unayotamani kuyapata.
Bado upo kwenye ulimwengu wa kutishana hadi leo mshamba sana wewe, hoja yako nayo ya kishamba sana. Bado ujakombolewa kifikra kama unawaza ushamba wa kipumbavu namna hio.
Wakati mwingine tusisingizie bangi kwa kila jambo la kustaajabisha. Kuna wengine wanazaliwa na matatizo ya akili mfano mzuri ni huyo rc, haikuchukui hata nusu saa tuu kufahamu kuwa jamaa ni punguani. Ni mmoja wa marc ovyo kuwahi kutokea nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.