Pazmanian
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 984
- 1,346
Jibu kwa hoja mkuu, wacha kebehi za kike.Wee zwazwa, singida ina hali njema sana ukilinganisha na dodoma...
Jibu kwa hoja mkuu, wacha kebehi za kike.Wee zwazwa, singida ina hali njema sana ukilinganisha na dodoma...
Khaaa!! Buji jamaniDodoma ni ardhi iliyolaaniwa
Mkuu Mr Mtui hii Hali unliiona na kukushirikisha Dodoma Ni ya mwaka huu TU sijawahi Iona Wala kukutana nayo nipo Dodoma kwa zaidi ya miaka 30. Vumilia Ni ya kupitabtu mkuuBaridi kaliiiii...hewa kavuu...
Wadau mnaoishi Dodoma mnawezaje ishi.. mnatumia sabuni na mafuta gani.. maana mimi ndani ya wiki tu ngozi imekua kama ya kenge, bila citrizine mafua hayaishi..
Utadhani nina-uviko.. Maji chumvi..sabuni hazitoi povu..wadau mnaishije... Msaada tafadhali
Hata Wilaya ya Hanang mkoa wa Manyara tunatembea tumekunja ndita upepo mkali, baridi kali, vumbi la kutosha tinapauka sana jaman!!! Hauwezi kuitreat ngozi yako ikakaa vizuri sipendi mazingira yasiyotulia kama haya!! Muda wote makoti kama tunaendesha pikipikiHili la kukunja ndita niliwahi kuishi hiyo fasi. Nakumbuka nilimwambia mwenyeji wangu kuwa watu wa huku wengi sana wanakunja ndita, jamaa akajibu jua kali vumbi jumlisha na nonstop upepo. Dodoma muda mwingi upepo unavuma asee
Napakubali sana Moro mkuu! Pako vzuri pametulia kabisaKwa kigezo cha hali ya hewa Moro pako njema asee. Tena safi tu sema hawawezi kuhamia.
HamaBaridi kaliiiii...hewa kavuu...
Wadau mnaoishi Dodoma mnawezaje ishi.. mnatumia sabuni na mafuta gani.. maana mimi ndani ya wiki tu ngozi imekua kama ya kenge, bila citrizine mafua hayaishi..
Utadhani nina-uviko.. Maji chumvi..sabuni hazitoi povu..wadau mnaishije... Msaada tafadhali
Aise kweli mkuu yale maji siyo powa kabisa mkuu nikirudi Dodoma nitakuja hizo maeneohapo mipango na mailimbili kiujumla maji yake mabaya sana njoo kikuyu hapa St John hutojutia huku sisi washua
Demu wako hajakomaa na kuwa na ngozi ka ya kenge? Mi Dodoma palinishinda. Ni mwendo wa vumbi na upepo.maisha gani hayo!Mwambie huyo.. ni demu wangu wa Dodoma anayo Tamu balaa.. sasa ananzaje kukandia tena jamani?
Sema kanaomba hela hako.. hakana kona yani utasikia Tu naomba hela ukiuliza ya nini hakana jibu
Unakuta mtoto mzuri kama wewe umepauka miguu ngozi imechanika kwa ukavu uzuri wote unapoteaDodoma kweli hali ya hewa mbaya. Nakumbuka miaka hiyo ukienda mjini unatembea na maji na mafuta kwenye bag incase vumbi limezidi miguuni au umepauka.
Kama upo Jalalabad PakistanDemu wako hajakomaa na kuwa na ngozi ka ya kenge? Mi Dodoma palinishinda. Ni mwendo wa vumbi na upepo.maisha gani hayo!
Mi nipo Kunduz - AfghanistanInategemea unapoishi. Nilipo mimi kuna barabara mpaka mlangoni. We mwenzangu sijui unatesekea kijiji kipi?
Hata Dar vumbi lipo sana tu na ukichanganya na jasho linageuka tope mwilini. Yuck!
Kwenye vibaka wa Chang'ombeKule maeneo ya maili mbili karibu na chuo cha mipango
Hanang sijawahi fika, unajua bora kuwe na baridi kuliko vumbi na upepo hata kama unavaa koti kwa baridi sio mbaya. Sasa kuwe na upepo afu hewa isiwe na unyevunyevu inakuwa hatari na nusu. Vumulieni wakuu hakuna namnaHata Wilaya ya Hanang mkoa wa Manyara tunatembea tumekunja ndita upepo mkali, baridi kali, vumbi la kutosha tinapauka sana jaman!!! Hauwezi kuitreat ngozi yako ikakaa vizuri sipendi mazingira yasiyotulia kama haya!! Muda wote makoti kama tunaendesha pikipiki
Unamtumiaga hela za sosho za walipa kodi uswisi?Ohoooo kuna demu wangu huko taratibu baharia
Hivi kumbe kuna vibaka ile mitaa?? Maana naonaga imetulia sanaKwenye vibaka wa Chang'ombe