RC Chalamila: Nimeupokea msiba wa Rais Magufuli kwa mikono miwili, kazi ya Mungu haina makosa

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema yeye na wananchi wote wa Mbeya wameupokea msiba wa Rais Magufuli kwa mikono miwili kwani kazi ya Mungu haina makosa.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
RC Chalamila, Dc meru,DC Hai,waziri wa elimu, waziri wa afya na Naibu wake, katibu mkuu wizara ya afya na Mganga mkuu wa serikali, katibu mkuu wizara ya fedha, baada ya Rais kuapishwa leo. Mjiandae kwenda kuchunga mbuzi huku mliko zaliwa.
 
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema yeye na wananchi wote wa Mbeya wameupokea msiba wa Rais Magufuli kwa mikono miwili kwani kazi ya Mungu haina makosa.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Huyu Mpuuzi wa Mbeya kwanini hawezi kunyamaza? He is So noisy yan
 
Cheo hicho ni kikubwa sana kwa hilo dubwasha.

Nashauri mama ampore hiyo nafasi,napendekeza Johnthebaptist anafaa.
 
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema yeye na wananchi wote wa Mbeya wameupokea msiba wa Rais Magufuli kwa mikono miwili kwani kazi ya Mungu haina makosa.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Hivi hawezi kukaa kimya? Mbona anaropoka ropoka kama mtu asiyejua nn maana ya uongozi
 
Yani hyu Firigisi yuko kama punguani sasa ataleta sa hvi sifa zake kwenye familia yake
Pumbafuuu!!
#Wiki tatu tena siyo Mitano Tena#
Maendeleo hayana Chama
 
Ole Sebaya,Chalamila,Pole pole na Bashiru na Doto watolewe kwy utumishi wa Umma!
 
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema yeye na wananchi wote wa Mbeya wameupokea msiba wa Rais Magufuli kwa mikono miwili kwani kazi ya Mungu haina makosa.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Hili chawa la Magufuli lenye kichwa Kama papai bovu lazima litolewe hapo Mbeya. Aletwe Mkuu wa Mkoa mwenye busara siyo huyu mvuta bangi
 
Sasa wa kumtumbua mwenzake ni nani wakati hata makamu mwenyewe alidanganya kwamba raisi yupo salama kumbe yupo kwenye coma.
Afadhali ya Samia alisema kuwa mtu kukaguliwa kaguliwa mafua au kitu chochote kile ni kawaida kwa binadamu.

Hapo kidogo watu wakajua Rais alikuwa mgonjwa.
 
wajiuzulu kivp bro, hao Ni Wanasiasa
Kwahiyo mwanasiasa anaruhusiwa kudanganya hata kwenye mambo ya msingi kuhusu Taifa zima juu ya kiongozi wa nchi? Sasa kama kusema uongo inaruhusiwa kwanini wawakamate wananchi waliosema ukweli kwamba Rais ni mgonjwa?
 
Back
Top Bottom