Ulishawwhi iona Fury ya Brad Pitt?,ulishawahi ona movie inaitwa The bridge is too far?,kaziangalie hizi kwanza halafu uje ubadilishe heading ya uzi wakoHii ni mwisho wa matatizo, kwanza mwanzo tu wa movie kama una roho nyepesi huwezi kuendelea kutazama. Watu walichakazwa na risasi yaani sio poa.
Hivi kuna movie ya kivita kali zaidi ya hii? Nitajie kama ipo
Hiii nayo ni moto mwingineee, bonge la movieHow about Tears of the Sun??
Hii nayo imetulia sanaKaangalie "ENEMY AT THE GATE"
Kisha urudi
Huyo alikuani private JacksonBila kumsahau yule sniper wao...
Sijaona ni
Hakilenga hakos!... Mpka anauliwa na mzinga wa kifaru:
Katika ubora wako mkuu huna baya!anaeitaka hii hapa, single click http://dl8.dlb3d.ir/Films/Saving.Private.Ryan.1998/Saving.Private.Ryan.1998.1080p-[Bi-3-Seda.Ir].mkv
We were Soldiers Muvi ya kikatili sana kias kwamba huwa nashindwa kutazama baadh ya sceneWe were Soldiers hii kwangu naiweka ya kwanza
Black hawk downLone survivor kwangu ndio bora zaidi so far, nairudia mara nyingi, ikifuatiwa na 13hours secret soldiers of Benghanzi
yani bila zile ndege kutumwa kwenda kuwaokoa kina bruce, walikua wanakufa wote.Wale waasi sio watu wazur kabisa 😂😂How about Tears of the Sun??
Greyhound captain anamaliza battle anasali Kisha analala. Alinigusa sanaKwa watu kama mimi ambao tunaopenda tukio lililotokea ndio tutazame movie yake lazima nizikubali Saving Private Ryan, 1917, Dunkirk, Hacksaw Ridge, We were Soldiers, The Bridge too Fall, Greyhound na movies kama hizo.
Napenda historia hasa za kivita na huwa nazisoma. Hizo movie unakuta kabla sijaitazama nimesoma matukio yake kiuhalisia hivo nakuwa kwenye ulimwengu halisi.
Kuna utamu wa kutazama movie inataja terms kama mole, double agent, war ration, mayday, D day au majina kama Omaha beach, Spitfire, Heinrich Himmler, Goebbels, Mushashu. Yani ukijua kitu afu ukatazama movie yake ni raha sana. Achana na hawa kina Vin Diesel na makontena ya pesa.