Sabaya akionesha majonzi juu ya kifo cha Magufuli

Mimi nilidhani huyu andakava ametahiriwa kimila kumbe Lina Lia Lia hovyo Kama hii mitoto inayosoma akademi.......
Moran kabisa unalialia. Huyu hata masufuria atakua anayasugua .
Huyu sidhani kama ni YERO! Tena analipia picha isambae mitandaoni, ili new system umuone mzalando. Akalime nyanya huko Meru. Shwain kabisa
 
100%. Mama Samia hawezi ruhusu vijana wenye tabia za kipuuzi kama huyu Sabaya akae serikalini, atamfukuza ASAP, let's wait, labda abadili tabia yake haraka sana sanaa.
Mama Samia anachukia sana watu wapenda kiki, ni mama mwenye huruma na mchapa kazi, hivyo wale wenye tabia ya kiki wajiandae..
Hamna lolote mama samia atawakumbatia genge lote la raisi magufuli, anawajua vijana na wale waliokuwa vipenz wa magufuli am telling u atawakumbatia na atawatetea
 
Yani hawa viongozi wanaolia wanalia sio kwamba wanaumia kaondoka mtetezi wa wanyonge ila ni wanawaza watakua na maisha gani kwa sababu wamewatendea watu mabaya kwa ngao ya huyu alietangulia mbele za haki.
#THE FUTURE IS EXCITING
 
Huyu sidhani kama ni YERO! Tena analipia picha isambae mitandaoni, ili new system umuone mzalando. Akalime nyanya huko Meru. Shwain kabisa
Mimi nilidhani Ni kabila moja na Laigwanan mstaafu kumbe Ni mkwavi Fulani hata jando hajaenda.
Sasa mke wake akiona hii picha atajisikiaje?
Huyu mla dagaa na uduvi halafu anachukua jina la kina OLE.??
 
Huu ukuu wa wilaya alipeana na Babaye au ni kazi ya nchi? Kama ni hichi cha pili mtasubiri msiyaone matarajio.
 
Huu uzi naomba uendelee kuwepo tuone km sabaya will pay...mnachosahau ni kua sabaya works for mfumo sio mtu...kaondoka mtu mfumo umebaki...mnaweza mkashangaa anapanda kua mkuu wa mkoa km Makonda alivyopanda kutoka ukuu wa wilaya enzi za JK hadi ukuu wa mkoa enzi za JPM...lets be smart and optimistic....siasa ni mchezo mchafu mtashangazwa mbaki midomo wazi
Kwa mkoa upi?
 
Hamna lolote mama samia atawakumbatia genge lote la raisi magufuli, anawajua vijana na wale waliokuwa vipenz wa magufuli am telling u atawakumbatia na atawatetea
Hakuna kitu kama hicho, unajua hawa vijana wengi mapandikizi yaliteuliwa kuangamiza wapinzani hasa kuwatesa, walivyomaliza uko wakaanza kuwamaliza pia vijana wa uvccm na team ya MSOGA, embu fikilia mwenyewe hapo utakosa kumwaga machozi? na hapo anajua piga ua msoga jazz band inarudisha team.
 
Back
Top Bottom