Wadau computer yangu ilikuja na window 8 toka kiwandani sasa nataka kuibadilisha lakini inanisumbua haitaki kutoka, inawaka na kuonesha kwa kuna error wakati wa kuwaka na inaishia hapo haiendelei inataka nifanye recovery lakini nibonyeza key iliyonielekeza hakuna kitu kinaendelea, na baada ya...
Habari wadau, nimenunua lumia 532 made in vietnam, lakini inanizingua kuunganisha internet, naomba msaada kwa anayejua setting za kuunganisha internet. Nawasilisha.
Habari wadau,
Kuna channel 6 za muvi tv ya zambia nilikuwa nazipata tangu siku nilipofungiwa dish, lakini juzi ilikuja message ikinitaka kuupdate system kwa scanning, baada ya scanning zile channel zote zikatoka, nawezaje kuzirudisha zile channel? Naombeni wadau tupeane maujuzi,
nawasilisha.
Habari wana Jf, mke wangu anatatizo la kuvimba papuchi mara tu baada ya kugegedana, tatizo hli limemuanza hvi karibuni baada ya kupata mimba, hii ni mimba yake ya kwanza hvyo hatuna uzoefu wowote, tunaomba ushauri wenu wataalamu na wazoefu.
Wana jf ni wapi naweza kufanya printing and binding ya lesson plan kwa bei poa, format ninayo kwenye softcopy, stationery za kawaida gharama ni kubwa. Nipo dar
Nawasilisha
Naombe ushauri wanaJF nina gf wangu wa mda mrefu kidogo, toka nimeanza kuwa nae sijawahi kusikia hichi kitu.
Nilimpigia simu siku tatu mfululizo hazipokelewi, ikanibidi na mimi nikae kimya, siku mbili baadae akanitext eti nimemsusa, nikaamua kumpigia sim baada ya kumuuliza kwanini hakupokea sim...
Tukiwa tunajiandaa kuingia katika mfumo wa digital hadi sasa sijapata jibu kipi ni bora kati ya kuwa na ving'amuzi vingi au bora nijiunge na Dstv. Maswali yangu sasa
1. Je nisubiri hadi tupate msimamo wa ving'amuzi vyenye uwezo wa kushika channel zote za hapa bongo?
2. Je nikinunua Dstv...
Baada ya matukio ya watu kupingwa na kunyang'anywa mali zao kama simu na pesa na vibaka, wanachuo wa chuo hicho wanaoishi nje ya chuo wameanzisha operation za kuwasaka vibaka hao, Kwa taarifa nilizozipata kwa mmoja wa viongozi wa wanachuo hao wanaokaa nje ya chuo kuwa opration iliyofanyika jana...
Nina mpenzi wangu ambaye nimekuwa nae kwa muda mrefu sasa ingawaje kuna kipindi tulikorofishana na kutowasiliana nae kwa muda, lakini baada ya kuweka mambo yetu sawa na kuanza ukurasa mpya. mwenzangu amepata mimba lakini cha kunishangaza hajanipa taarifa kuwa anamimba na mimi nipo mbali nae...
Heshima kwenu wanajamvi, hongereni sana kwa kulijenga taifa letu hili la mafisadi kwa mawazo yenu mazuri na kutufunza mambo mengi. nimekuwa nikitumia jamvi hili kupata habari kwa kina, hivyo na mm nimevutiwa sana kuwa member, hivyo basi naomba mnitambue kuwa mm bado learner katika uwanja huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.