Msaada ku-uninstall window 8

Muce

Senior Member
Dec 19, 2011
116
14
Wadau computer yangu ilikuja na window 8 toka kiwandani sasa nataka kuibadilisha lakini inanisumbua haitaki kutoka, inawaka na kuonesha kwa kuna error wakati wa kuwaka na inaishia hapo haiendelei inataka nifanye recovery lakini nibonyeza key iliyonielekeza hakuna kitu kinaendelea, na baada ya muda mfupi inazima yenyewe. Naombeni msaada wadau
 
Wadau computer yangu ilikuja na window 8 toka kiwandani sasa nataka kuibadilisha lakini inanisumbua haitaki kutoka, inawaka na kuonesha kwa kuna error wakati wa kuwaka na inaishia hapo haiendelei inataka nifanye recovery lakini nibonyeza key iliyonielekeza hakuna kitu kinaendelea, na baada ya muda mfupi inazima yenyewe. Naombeni msaada wadau


Umeshawahi kufanya installation ya windows popote?
 
Kaka why uharibu windows yako genuine na kueka windows ya wizi? Windows 10 inakuja anytime ipo kama 7 uta upgrade bureee na win 8 yako. Ila ukieka 7 utaendelea na wizi hadi 10.


Kama huipendi hio start screen mpya na hizo tiles zipo njia za kutoa kuifanya iwe kama win 7
 
Kaka why uharibu windows yako genuine na kueka windows ya wizi? Windows 10 inakuja anytime ipo kama 7 uta upgrade bureee na win 8 yako. Ila ukieka 7 utaendelea na wizi hadi 10.





Kama huipendi hio start screen mpya na hizo tiles zipo njia za kutoa kuifanya iwe kama win 7


Sio kila computer inayokuja na windows imetoka nayo kiwandani na ni genuine, hizo windows wengi wanaziwekea hapa bongo. Unakuta laptop ina sticker ya linux lakini ina windows kwamba ilitoka kiwandani na linux. Mimi nimenunua laptops brand new mara nyingi na zinakuja na win 7 or 8. Lakini ukilogwa ukaInstall WGA update basi inashikwa, nikienda kuwauliza walioniuzia wanasema wao wanayo windows ya multi user. Na wenyewe ni wakala mkubwa wa dell,hp,toshiba,lenovo,apple etc.
 
Sio kila computer inayokuja na windows imetoka nayo kiwandani na ni genuine, hizo windows wengi wanaziwekea hapa bongo. Unakuta laptop ina sticker ya linux lakini ina windows kwamba ilitoka kiwandani na linux. Mimi nimenunua laptops brand new mara nyingi na zinakuja na win 7 or 8. Lakini ukilogwa ukaInstall WGA update basi inashikwa, nikienda kuwauliza walioniuzia wanasema wao wanayo windows ya multi user. Na wenyewe ni wakala mkubwa wa dell,hp,toshiba,lenovo,apple etc.
. Japo kwetu hatuna sheria ila nchi za wenzetu ukiuziwa laptop ya dos/linux unarudishiwa na hela kidogo ambayo ilikuwa ni ya licence ya windows.

Hawa wafanya biashara wananunua laptop za dos na kueka windows fake. Mara mia wangekua hata wanapunguza hio bei, ila wanauza sawa sawa na pc yenye windows.
 
Chek me ... i can fix hilo tatzo.......nimesolve haya matatzo mara kibao sana bad luck sio kwa maelezo bali n vtendo
 
. Japo kwetu hatuna sheria ila nchi za wenzetu ukiuziwa laptop ya dos/linux unarudishiwa na hela kidogo ambayo ilikuwa ni ya licence ya windows.



Hawa wafanya biashara wananunua laptop za dos na kueka windows fake. Mara mia wangekua hata wanapunguza hio bei, ila wanauza sawa sawa na pc yenye windows.


Yeap, kwenye kitabu wameandika free dos na unakuta laptop yenyewe ina win 7au 8. Na nyingine kwenye kitabu imeonyeshwa win8 lakinj yenyewe ina win7
 
Wadau computer yangu ilikuja na window 8 toka kiwandani sasa nataka kuibadilisha lakini inanisumbua haitaki kutoka, inawaka na kuonesha kwa kuna error wakati wa kuwaka na inaishia hapo haiendelei inataka nifanye recovery lakini nibonyeza key iliyonielekeza hakuna kitu kinaendelea, na baada ya muda mfupi inazima yenyewe. Naombeni msaada wadau

ok wanakuja.....si unajua mvua mvua za hapa & pale.
 
Umeshawahi kufanya installation ya windows popote?

Nimeshazifanya sana installation za window ila hii imenitoa jasho, mara ya kwanza ilikuwa ina install inafika sehem inatoa error code halafu inagoma kuendelea.
 
Chek me ... i can fix hilo tatzo.......nimesolve haya matatzo mara kibao sana bad luck sio kwa maelezo bali n vtendo


Ninauelewa kidogo wa computer hivyo hata ukinipa abc za kufanya nitaelewa, nitashukuru sana kama utanisaidia.
 
Nimeshazifanya sana installation za window ila hii imenitoa jasho, mara ya kwanza ilikuwa ina install inafika sehem inatoa error code halafu inagoma kuendelea.

Laptop zinazokuja na windows 8 nyingi zinakuwa na secure boot jifunze kutoa secure boot kabla ya kuhangaika kueka windows.

Windows inaboot kuna kitu kinaitwa UEFI so kwenye windows 8 wamekiekea security huwezi ukaeka kitu kama driver au os ambayo ni unsigned bila kudisable hiyo secure boot (UEFI)

Jinsi ya kudisable.
1. Sababu unasema umeingia hadi recovery naskip step za mwanzo nenda recovery.

2. Nenda troubleshoot
3. Nenda advance setting
4.nenda uefi firmware setting
5. Click restart ili pc iwake kwenye UEFI setting

Ikiwaka itakuwa kama menu ya bios then disable secure boot.

Endelea na mambo yako
 
Chief-Mkwawa

Samahan mkuu nimedandia thread, naomba muongozo wa kutoa hii start screen na tiles kwenye win 8 kuifanya iwe kama win 7 tafadhali
 
Last edited by a moderator:
~kuna hii kitu
ASUS X551M
hii ni kwa windows 8 tu, windows 7 yeyote ile haiko compatible hata ukibadili UEFI.
So its better kuacha operating system ambayo iko compatible na PC yako.
ukiona yagoma achana nayo ukilazimisha kuingia itaingia ila unaweza kosa baadhi ya drivers za PC yako kama Graphic Driver na Wireles
 
Nina Asus laptop touch screen, ila ndo kama Ray57 anavosema imekuja na Windows8 na meshindwa kuitoa ila nshaizoea now
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom