Muce
Senior Member
- Dec 19, 2011
- 116
- 14
Heshima kwenu wanajamvi, hongereni sana kwa kulijenga taifa letu hili la mafisadi kwa mawazo yenu mazuri na kutufunza mambo mengi. nimekuwa nikitumia jamvi hili kupata habari kwa kina, hivyo na mm nimevutiwa sana kuwa member, hivyo basi naomba mnitambue kuwa mm bado learner katika uwanja huu. naombeni ushirikiano wenu.<br>nawakilisha