Muce
Senior Member
- Dec 19, 2011
- 116
- 14
Habari wadau,
Kuna channel 6 za muvi tv ya zambia nilikuwa nazipata tangu siku nilipofungiwa dish, lakini juzi ilikuja message ikinitaka kuupdate system kwa scanning, baada ya scanning zile channel zote zikatoka, nawezaje kuzirudisha zile channel? Naombeni wadau tupeane maujuzi,
nawasilisha.
Kuna channel 6 za muvi tv ya zambia nilikuwa nazipata tangu siku nilipofungiwa dish, lakini juzi ilikuja message ikinitaka kuupdate system kwa scanning, baada ya scanning zile channel zote zikatoka, nawezaje kuzirudisha zile channel? Naombeni wadau tupeane maujuzi,
nawasilisha.