Wiki hii siku ya Jumanne majira ya saa 10 usiku, nilipigiwa simu kwa namba ya 555! Sikuipokea baada ya kuangalia muda wa simu ile uliopigwa. Nikapata wasiwasi mkubwa nitamwomba Mungu sa usiku ule.mchana wa siku iliyofuata sikuwa na amani.
Lakini jana usiku nilipigiwa tena muda ule ule...
Toyota Spacio ya mwaka 2002 inauzwa
Iko Iringa! Kilometer 14500. Bei Tsh Ml. 6.
Iko katika hali nzuri! bei inaweza kushushwa.
More info. Call 0713 560 587
Samahani picha imeshindwa kuapload kutokana na tatizo la mtandao! Unaweza kutumiwa kwa Whattsapp.
Mpaka kufikia mwaka 2012 rais huyo wa Marekani alikuwa na utajiri wa Dola za Marekani Milioni 11.8. Sawa na zaidi ya Bilioni 17 za Kitanzania
Vyanzo ya Mapato hayo ni kupitia Vitabu na Siasa.
Mshahara ni dola 400,000 kwa mwaka sawa na Milioni 624 za Kitanzania
Obama ni Rais wa 44 wa Marekani...
Kingungengombare Mwiru ametinga katika msiba wa aliyekuwa mfanyakzi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Mr Chochole.
Chochole amefariki usiku wa kuamka Jumapili,
Ujio wake Kingunge umeshtua watu kutokana na ukubwa wa msiba wenyewe, nawasilisha.
Mtoa taarifa mmoja ambaye yuko polisi sasa, anasema Baada ya siku kadhaa za usaili, hatimaye jeshi la Polisi kwa kozi mbalimbali linatoa majibu ya usaili jioni hii, kila la kheri bandugu hao.
Nipo katika ofisi mpya, tumetokea kumpenda mtoto wa kihindi mzuri kwa kweli anavutia.
Msaada kwa mwenye uzoefu wa watoto wa namna hii. Mbinu nipeni nimpate.
Tendwa katika mkutano wake wa juzi wakati akiongea na waandishi wa habari alisema, hakutamka kufutwa kwa Chadema bali alisema wanahabari waliandika vibaya(story iliandikwa katika gazeti la Mwananchi), kuwa amesema Chadema.
Hata hivyo taarifa za ndani za Mwananchi zilisema ni kweli hakusema...
Habari...
nilikutana naye Saloon moja hapa mjini... akakubali kutoa namba na jana usiku tuliongea mengi tu (sikumtokea).
leo tukakubaliana tule lunch, akakubali...
lakini kutokana na foleni nikachelewa, aliniambia ameagiza chakula..
nilipofika kwenye mgahawa ule.. nikamkuta na njemba...
WAKATI bado kuna sintofahamu ya mauaji ya mwandishi wa habari wa kituo cha Channel Ten, Daudi Mwangosi, Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), James Mbatia, amewaonya Wanasiasa na Viongozi wa dini kutotoa kauli nzito ambazo zinaweza kuhatarisha amani.
Pia, Mbatia pamoja na Viongozi...
Hello there
baada ya mkasa wa kwanza na mwendelezo huu ni mkasa mwingine ambao umempata rafiki yangu....alikutana na mrembo (mchanga), kwa siku ya kwanza siku iliyofuata msichana akakubali wakapanga mengi ya maisha, cha kushangaza yule dada akasema ana mtu na kuanzia siku hiyo anaachana naye ili...
nilikuwa kwenye hoteli moja kwa ajili ya kupata chakula, mhudumu wa kike alikuwa akitoa huduma mezani kwangu.
Simu yake ikaita na kuipokea akisema "........ Nakuja niko nyumbani naoga nitakuja"
NILILIPUKA kwa hasira nikasema mbona unamjibu uongo, akajitetea "ahh huwa anasumbua bwana"
Wanawake...
WARSAW, Poland - A Mitt Romney spokesman reprimanded reporters traveling with the candidate on his six-day foreign trip, telling them to "kiss my a**" after they shouted questions from behind a rope line.
As Romney left the site of the Tomb of the Unknown Soldier in Warsaw and walked toward his...
Kampuni ya Strabag kwa mwendo huu! Unatuhakikishia kuwa hata tungekupa uweke sawa bonde la Jangwani litumike kwa ajili ya makazi kazi hiyo ungeweza.kazi anaifanya kujaza na kulisawazisha bonde hilo na kuonekana hakuna bonde
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.