nilikuwa kwenye hoteli moja kwa ajili ya kupata chakula, mhudumu wa kike alikuwa akitoa huduma mezani kwangu.
Simu yake ikaita na kuipokea akisema "........ Nakuja niko nyumbani naoga nitakuja"
NILILIPUKA kwa hasira nikasema mbona unamjibu uongo, akajitetea "ahh huwa anasumbua bwana"
Wanawake mbona mko hivyo... mnapenda kuwa sehemu ya kuleta matatizo ya kisaikolojia kwa wanaume.
Simu yake ikaita na kuipokea akisema "........ Nakuja niko nyumbani naoga nitakuja"
NILILIPUKA kwa hasira nikasema mbona unamjibu uongo, akajitetea "ahh huwa anasumbua bwana"
Wanawake mbona mko hivyo... mnapenda kuwa sehemu ya kuleta matatizo ya kisaikolojia kwa wanaume.