WAKATI bado kuna sintofahamu ya mauaji ya mwandishi wa habari wa kituo cha Channel Ten, Daudi Mwangosi, Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), James Mbatia, amewaonya Wanasiasa na Viongozi wa dini kutotoa kauli nzito ambazo zinaweza kuhatarisha amani.
Pia, Mbatia pamoja na Viongozi wengine wa vyama vya siasa nchini vimemtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kukaa kikao cha dharula ili kujadili suala hilo kwa undani. Source http://dewjiblog.com/2012/09/06/mba...usu-mauaji-amepanga-kukutana-na-waziri-pinda/
Pia, Mbatia pamoja na Viongozi wengine wa vyama vya siasa nchini vimemtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kukaa kikao cha dharula ili kujadili suala hilo kwa undani. Source http://dewjiblog.com/2012/09/06/mba...usu-mauaji-amepanga-kukutana-na-waziri-pinda/