Tendwa katika mkutano wake wa juzi wakati akiongea na waandishi wa habari alisema, hakutamka kufutwa kwa Chadema bali alisema wanahabari waliandika vibaya(story iliandikwa katika gazeti la Mwananchi), kuwa amesema Chadema.
Hata hivyo taarifa za ndani za Mwananchi zilisema ni kweli hakusema hivyo na anashangaa mwandishi mwenzake kuandika hivyo.
My take waandishi wanaweza kukuza mambo ambayo yatahatarisha amani ya nchi.
Hata hivyo taarifa za ndani za Mwananchi zilisema ni kweli hakusema hivyo na anashangaa mwandishi mwenzake kuandika hivyo.
My take waandishi wanaweza kukuza mambo ambayo yatahatarisha amani ya nchi.