Mambo!
JK yuko nje, Pinda yuko nje, Bilal naye yuko nje.
Hata baadhi ya mawaziri wako nje ya nchi, swali langu nani anaishikilia Tanzania kwa sasa?
Mambo!
JK yuko nje, Pinda yuko nje, Bilal naye yuko nje.
Hata baadhi ya mawaziri wako nje ya nchi, swali langu nani anaishikilia Tanzania kwa sasa?
Huyu naye yuko Marekani. Nchi hii haina haja ya kuendeshwa na mtu kwani inaendeshwa kwa mazingaombwe! Tena bora wasiwepo, maana wakiwepo ni ghasia tu barabarani, mara mmoja aende Pugu, mwingine Msoga na mwingine busy na Pugu Road akapande Tropical Air charter kwenda Zenji. Kwa safari zao hizo, ipo siku misafara yao itakuja kugongana, kama siyo hewani basi barabarani! Dhaifu bwana?Ni NAPE
mleta hoja kaleta idea ambayo wengi wetu hawaijui lakini be alerted from now.Wala isikuumize kichwa, hakuna anayekaimu. Kwasababu awepo mwenyewe au yeyote anayekaimu ni kama hakuna mtu tu!
Huyu naye yuko Marekani. Nchi hii haina haja ya kuendeshwa na mtu kwani inaendeshwa kwa mazingaombwe! Tena bora wasiwepo, maana wakiwepo ni ghasia tu barabarani, mara mmoja aende Pugu, mwingine Msoga na mwingine busy na Pugu Road akapande Tropical Air charter kwenda Zenji. Kwa safari zao hizo, ipo siku misafara yao itakuja kugongana, kama siyo hewani basi barabarani! Dhaifu bwana?