Mpinzani wa Nkuruzinza Zedi Feruzi ameuawa leo pamoja na mlinzi wake mjini Bujumbura Burundi.
Hali bado ni tete Burundi.
Chanzo: French int. News
Source: Aljazeera
Asilimia kubwa ya wanandoa hasa kina dada kutumia ubini(surname) wa waume zao.
Utakuta mwanadada baada ya ndoa anaacha jina la ukoo wake alikozaliwa na kulelewa mpaka akapata akili na umri wa yeye nae kuolewa. Anabadili na kuchukuwa jina la ukoo wa mume wake.
Tabia hii ipo kwa baadhi ya...
Habari kutoka jimbo la Florida, USA zinasema, pametokea kuzama kwa ajabu kwa chumba cha Jaffrey Bush na mwenyewe akiwemo. Huku nyumba hiyo ikibaki bila ya dosari kwa nje lakini kwa ndani chumba cha kulala kikiwa kimezama kwa kina cha futi 20 (6m) hivi.
Matumaini ya kumuokoa Jaffrey Bush akiwa...
Habari kutoka jimbo la Florida, USA zinasema, pametokea kuzama kwa ajabu kwa chumba cha Jaffrey Bush na mwenyewe akiwemo. Huku nyumba hiyo ikibaki bila ya dosari kwa nje lakini kwa ndani chumba cha kulala kikiwa kimezama kwa kina cha futi 20 (6m) hivi.
Matumaini ya kumuokoa Jaffrey Bush akiwa...
kwa mabreaking news ndio usiseme, kwa vituko napo looh,kwa maoni ndio nyumbani kwake, kwa elimu napo heeeh, kwa kufurahisha ndio mahali pake, ya kuudhi pia yamo!!!
Ni ukweli usiopingika kwamba Tz ina magonjwa mengi mno. Karibu kila nyanja inaumwa, tena kibaya zaidi nyanja zingine zimegubikwa na magonjwa sugu!!!!
Tunaambiwa na 'Great Thinkers' kuwa kila Mtu anastahili apate mahitaji yake muhimu ya kibinadamu ili maisha yake hapa duniani yawe muruwaaa.
1...
Kwa maisha tuliyonayo sasa ni vigumu kujitenga na siasa. Kwa maana hiyo basi nimeonelea niingie kwenye siasa kikamilifu.
Nataka kuanzisha chama cha siasa.
Swali ninalojiuliza je ni chama cha mrengo gani kitakachofaa kuondoa shida zetu lukuki bila kurudia makosa yaliyo/yanayofanywa na vyama...
Kwa baadhi ya members kuanzisha thread za kichokozi na hasa zinazoudhi pia wengine posts zao zinatoka nje ya mada husika.
Tubadilike ndugu zangu.
Ni vyema tukahabarishana matukio muhimu na pia kuleta threads zenye maana/faida kwa jamii yetu.
Nawasilisha.
Watanzania wenzangu, nashauri tuanzishe utaratibu wa form za kiapo kwa wagombea woote, hasa wagombea wa nafasi ya urais na ubunge.
Ahadi zote watakozozitoa majukwaani tunasema "OK FINE BUT PUT IN WRITING" Jaza ahadi zako zooote kwenye fomu ya kiapo tena mbele ya mashahidi, kisha fomu zote...
Huwa najiuliza kama ni muhimu kuwa na mamia ya "Waheshimiwa Wabunge" na utitiri wa Madiwani. Niliwahi kuambiwa "Hao ndio wawakilishi wetu wanaoikoromea Serikali ishughulikie matatizo yetu pamoja na kutuletea maendeleo"
Inamaana Serikali haiyaoni na hivyo haiyashughulikii hayo"matatizo" yetu...
Eti ukiongeza salio kwa Tigopesa utapata mara2!!! Lakini kumbe badala ya kupata mapeni mara 2 unapewa bonus ya dak. za nyongeza ambazo zinaexpire within a limited time!!!!!<br>Wizi mtupu!!!!!!!!!!
Eti ukiongeza salio kwa Tigopesa utapata mara2!!! Lakini kumbe badala ya kupata mapeni mara 2 unapewa bonus ya dak. za nyongeza ambazo zinaexpire within a limited time!!!!!<br>Wizi mtupu!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.