NGUVUMOJA
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,347
- 325
Watanzania wenzangu, nashauri tuanzishe utaratibu wa form za kiapo kwa wagombea woote, hasa wagombea wa nafasi ya urais na ubunge.
Ahadi zote watakozozitoa majukwaani tunasema "OK FINE BUT PUT IN WRITING" Jaza ahadi zako zooote kwenye fomu ya kiapo tena mbele ya mashahidi, kisha fomu zote zinahifadhiwa Polisi.
Baada ya miaka mitano fomu zinatolewa na kuzipitia ahadi mojamoja.
Enhee, ulituahidi 1, 2 .....3. Je ulitimiza? kama hakutimiza FUNGA JELA MIAKA 30 NA KAZI NGUMU.
Nadhani hapatakuwa na wagombea uchwara tena katika nchi yetu.
Nawasilisha......
Ahadi zote watakozozitoa majukwaani tunasema "OK FINE BUT PUT IN WRITING" Jaza ahadi zako zooote kwenye fomu ya kiapo tena mbele ya mashahidi, kisha fomu zote zinahifadhiwa Polisi.
Baada ya miaka mitano fomu zinatolewa na kuzipitia ahadi mojamoja.
Enhee, ulituahidi 1, 2 .....3. Je ulitimiza? kama hakutimiza FUNGA JELA MIAKA 30 NA KAZI NGUMU.
Nadhani hapatakuwa na wagombea uchwara tena katika nchi yetu.
Nawasilisha......