Kwa nini Watanzania tunapenda vya bure?

NGUVUMOJA

JF-Expert Member
Jul 1, 2011
1,347
325
Kama sio bure basi bei poa. Hata kama bidhaa zenyewe ni za chini ya kiwango. Tatizo ni umaskini wetu au ni mazoea tu?
 
Kupenda vya bure ni tabia ''nzuri'' ya binadamu wote; kama hukujua wazungu ndiyo wanaongoza kwa kupenda vya bure ila usipofikiri kwa undani utadhani wao wananunua sana lakini siyo....Chunguza vizuri tena wanapenda kutuibia sana.
 
tumegawa viwanda vyetu eti ni uwekezaji tatizo ni kutoka utumwani. Tusingelikuwa watumwa tungeliweza kuwajua watu waliogawa viwanda vyetu bila kutuuliza kuwa ni wajinga zaidi yetu, pia hata wenyewe hawakuwa wakielewa madhara ya walivyofanye. Tukae tule matunda ya maamuzi yetu au tujifungue minyororo ya utumwa.
Nimeona hii nuukuu ikavisumbua sana akili. Haina tofauti sana na mawaidha ya Mwalimu Nyerere.

freedom.jpg
ni tabia iliyorithiwa toka kwa mkuu wa kaya. Anapenda dezo huyooooo
Kama sio bure basi bei poa. Hata kama bidhaa zenyewe ni za chini ya kiwango. Tatizo ni umaskini wetu au ni mazoea tu?
 
sija kuelewa mkuu, kama vip boresha kidogo.
Naongelea tabia za baadhi yetu kupenda vitu vya kupata kirahisi kuliko uhalisia wake. Mfano mmoja ni ununuzi wa bidhaa feki zisizodumu au hatarishi lakini tu kwa kuwa bei ya chini au umeahidiwa chako yaani 10%
 
Naongelea tabia za baadhi yetu kupenda vitu vya kupata kirahisi kuliko uhalisia wake. Mfano mmoja ni ununuzi wa bidhaa feki zisizodumu au hatarishi lakini tu kwa kuwa bei ya chini au umeahidiwa chako yaani 10%

Umesahau pia wafanyabiashara wanauza kwa bei ya juu kuliko bei halali ya bidhaa, hivyo watu wamezoea kulialia bei ipunguzwe kwa kila kitu. na hii imekuwa ni tabia ya wafanyabiashara pia kupandisha bei tofauti na bei halali...
 
Umaskini uliokithiri mkuu
manake karibu watz wote
vipato vyetu havitoshi kabisa
tena hata kwa maisha yale
ya kawaida kabisaaaaaaaaaaaa
 
tumegawa viwanda vyetu eti ni uwekezaji tatizo ni kutoka utumwani. Tusingelikuwa watumwa tungeliweza kuwajua watu waliogawa viwanda vyetu bila kutuuliza kuwa ni wajinga zaidi yetu, pia hata wenyewe hawakuwa wakielewa madhara ya walivyofanye. Tukae tule matunda ya maamuzi yetu au tujifungue minyororo ya utumwa.
Nimeona hii nuukuu ikavisumbua sana akili. Haina tofauti sana na mawaidha ya Mwalimu Nyerere.

View attachment 39755
Mkuu you've gone extremely deap.
 
Umesahau pia wafanyabiashara wanauza kwa bei ya juu kuliko bei halali ya bidhaa, hivyo watu wamezoea kulialia bei ipunguzwe kwa kila kitu. na hii imekuwa ni tabia ya wafanyabiashara pia kupandisha bei tofauti na bei halali...
Pia mkuu wapo wafanya biashara wanaotaka kuuziwa mali za mashirika kwa bei poooa baada ya kuwatip wahusika.
 
Kupenda vya bure ni tabia ''nzuri'' ya binadamu wote; kama hukujua wazungu ndiyo wanaongoza kwa kupenda vya bure ila usipofikiri kwa undani utadhani wao wananunua sana lakini siyo....Chunguza vizuri tena wanapenda kutuibia sana.
Unaongelea ukoloni mamboleo au sio?
 
Wazungu kwa vya bure ndo wanaongoza,mfano kuwarubuni viongozi wetu kwa mikataba feki!
Kupenda vya bure ni tabia ''nzuri'' ya binadamu wote; kama hukujua wazungu ndiyo wanaongoza kwa kupenda vya bure ila usipofikiri kwa undani utadhani wao wananunua sana lakini siyo....Chunguza vizuri tena wanapenda kutuibia sana.
 
hakuna mtu yeyote duniani aneyependa vya ghali. suala la ubora ni suala jengine tofauti.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom