Nawakumbuka hawa watangazaji wa RTD enzi hizo walifanya vizuri sana kwenye kipindi cha ngoma za asili, nakumbuka kipindi kilikuwa kinafanyika baada ya taarifa ya habari ya saa 4 asbh sina hakika ilikuwa kila siku au kila.
Embu mtujuze mwenye habari zao!
Wanajamiiforums, kwa wale waliobahatika kusoma kitabu hiki hakika watakubaliana nami kwamba mwandishi alijitahidi sana kuwa na connectivity nzuri ya matukio na kitabu kimejaa furaha na kutia huruma kwa baadhi ya wahusika.
Nimefurahishwa na safari ya Fr Moyo kule Ukerumani had alipokuja kuwa...
Nafasi za (2) za waalimu
1: awe anafundisha Physics- ni sharti awe female
2: awe anfundisha Mathematics- ni sharti awe male
Sifa za mwombaji
Awe na elimu ya Diploma tu.
NB: Kwa walio na elimu zaid ya diploma hawaruhusiw ku-apply
Shule ya seminary (O-level) ipo mkoani Lindi. Kwa watakaopata...
Ndugu wanajamiiforums, naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kufundisha masomo hayo tajwa anitafute kwa mawasiliano yafuatayo
0629836915
DEADLINE 19/12/2016
Ndg zangu naomba niseme tu kwamba jana kwenye taarifa ya habari Azam TV walimhalika Mwenyekiti wa madereva kutoa ufafanuzi juu ya kukubali kurejea barabarani.
Aliweza sana kutoa sifa nyingi kwa Paulo Makonda kwamba alitumia lugha ya busara na hekima ya hali ya juu sana hali iliyowafanya...
Ndg wanajamvi,poleni sana kwa majukumu ya hapa na pale. Naomba kujua kama hata kuna tetesi juu ya selection za kidato cha tano 2014, maana jambo hili lipo kimya sana.
Ahsanteni.
Taarifa ya habari ya jana iliyosomwa na Emmanuel Buholela alitumia neno KUMKALIA KOONI- "Wabunge wamemkalia kooni waziri Nyalandu....."
Sasa sijui kama neno hilo ni sahihi ama la na je kama si sahihi ni ipi kazi ya whariri?
Hey members!Naomba nitoe msaada wa matumizi ya neno WHO & WHOM maaba watu wengi huchanganya sana.
Kwa kifupi WHO hutaka kujua mtenda tendo(subject) wakati WHOM hutaka kujua mtendewa(accusative case)
Examples:(1)Hamisi has gone to see DC.
Who has gone to see DC?The answer must be...
Ninapata mashaka na uwezo wa kufikiri wa mama huyu na kumwona kua ni msahaulifu.
Mara ya kwanza alipotelea ufafanuzi suala la kupandishwa kwa posho za wabunge alidai kua gharama za maisha Dodoma zipo juu.
Leo hii anatuambia mbunge si mtu tajiri kama watu wengi wanavyodhani,eti ana makato...
Wanafunzi wa chuo cha elimu Udom wamekusanyika utawala mkuu kutaka pesa zao ambazo zimeshafika chuoni,wamesaini lakini hawajalipwa.
Makamu mkuu wa chuo adai pesa zitatoka kabla ya Ijumaa.
Wanafunzi wa kitivo cha elimu wamekutanika katika moja ya majengo ya hostel linaloitwa block F.
Mkusanyiko huo ambao umehitimisha kwa makubaliano kua wakutane kesho sa11 alfajiri kuelekea utawala,una lengo la kushinikiza utawala kuwapa hela zao ambazo walitakiwa kupewa tangu tar 16 ya mwezi...
Mi siamini kama kutongoza ni jambo baya.
Nikiwa lecture room,dada mmoja mwenye mvuto alivaa na kupendeza alikaa karibu nami,kiukweli sikumsikiliza tena mwalimu.
Nikajikuta mwili umesisimuka,bila kusita nikamwomba namba naye akanipatie.
Ujeuri wa dada yule siwezi kusahu,akanipatia number...
Binafsi,hali haikua nzuri hata kidogo zaid i miez ya Feb na June.
Msichana ambaye tulikubaliana alipoamua kunisaliti na kuolewa na mwanaume mwingine kipindi cha mwezi wa kumi na moja ndipo alipofungua ndoa.
Kilikua ni kipindi na mwaka mgumu sana kwangu kwani nilifedheheshwa sana na hata...
Nimepata taarifa iliyotumwa kama post katika facebook kutoka kwa rafiki yangu anadai kwamba Baloz Seif ataapishwa kesho Ikulu na Mh.JK kwa nafasi aliyokuwa nayo Luhanjo.
Mwenye kufahamu hili atujuze zaidi.
Jamani Tanzania hali si nzuri hata kidogo.
Mpenzi wangu yupo katika wakati mgumu wa kutafuta ajira,jamaa amemuahidi kazi ipo ila awe tayari kumtolea nguo za ndani.
Nimemshauri aachane nae na kuangalia utaratibu mwingine.
Mue makini dada zangu kwa hili.
Inasemekana wanafunzi kumi na tano(15) wamesimamishwa masomo mpaka pale utawala wa chuo hicho utakapotoa maamuzi.
Wanafunzi walisalia wametakiwa kuripoti chuoni hapo siku ya tar.02 Jan.Watahitajika kudownload barua maalumu itakayowekwa kwenye mtandao na utawala wa chuo hicho.
Barua zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.