Mi siamini kama kutongoza ni jambo baya.
Nikiwa lecture room,dada mmoja mwenye mvuto alivaa na kupendeza alikaa karibu nami,kiukweli sikumsikiliza tena mwalimu.
Nikajikuta mwili umesisimuka,bila kusita nikamwomba namba naye akanipatie.
Ujeuri wa dada yule siwezi kusahu,akanipatia number za mwanaume,kila ninapogia hupokea mwanaume.
Hivi kosa langu ni lipi?
Nikiwa lecture room,dada mmoja mwenye mvuto alivaa na kupendeza alikaa karibu nami,kiukweli sikumsikiliza tena mwalimu.
Nikajikuta mwili umesisimuka,bila kusita nikamwomba namba naye akanipatie.
Ujeuri wa dada yule siwezi kusahu,akanipatia number za mwanaume,kila ninapogia hupokea mwanaume.
Hivi kosa langu ni lipi?