Ninapata mashaka na uwezo wa kufikiri wa mama huyu na kumwona kua ni msahaulifu.
Mara ya kwanza alipotelea ufafanuzi suala la kupandishwa kwa posho za wabunge alidai kua gharama za maisha Dodoma zipo juu.
Leo hii anatuambia mbunge si mtu tajiri kama watu wengi wanavyodhani,eti ana makato mengi kiasi hubakiwa na mshahara wa 100,000/= hadi 45,000/=
Na tena anasema wao huombwa na wapiga kura wao pesa,hivi kama waliweza kuwapatia fedha wakati wa chaguzi na hawakuwasemanga leo shida iko wapi?
Ikiwa wanataka posho ili wakawape wapiga kura wao,kwanini kisiundwe chombo maalumu cha kukusanywa nyongeza ya posho ili wananchi waombao wawe wanapewa bila kupitia mbunge?
Chochonde Makinda wangalie watanzania katika eneo pana.
Mara ya kwanza alipotelea ufafanuzi suala la kupandishwa kwa posho za wabunge alidai kua gharama za maisha Dodoma zipo juu.
Leo hii anatuambia mbunge si mtu tajiri kama watu wengi wanavyodhani,eti ana makato mengi kiasi hubakiwa na mshahara wa 100,000/= hadi 45,000/=
Na tena anasema wao huombwa na wapiga kura wao pesa,hivi kama waliweza kuwapatia fedha wakati wa chaguzi na hawakuwasemanga leo shida iko wapi?
Ikiwa wanataka posho ili wakawape wapiga kura wao,kwanini kisiundwe chombo maalumu cha kukusanywa nyongeza ya posho ili wananchi waombao wawe wanapewa bila kupitia mbunge?
Chochonde Makinda wangalie watanzania katika eneo pana.