Search results

  1. nziriye

    Hizi fashion ni shida...

  2. nziriye

    Nani mkweli hapa?

    AU Je, ni wafungwa 400 au 4000+?
  3. nziriye

    Share a coke with....

  4. nziriye

    Ni kama.....

    Ni kama...
  5. nziriye

    Umeonana nini?

  6. nziriye

    Listening to an empty cd

  7. nziriye

    Ligwaride hilo la ccp-moshi

  8. nziriye

    G.i.s training

    Wadau naomba mwenye kufaham ni wapi wanatoa mafunzo ya GIS na gharama zake ni kiasi gani?please anayefaham naomba kujuzwa.
  9. nziriye

    Msaada software ya Corel draw

    Wadau naomba mwenye software ya Corel draw anisaidie ,nina shida mwenzenu Msaada pleaseeeeee.....
  10. nziriye

    Who really owns a man?His Mother or Wife?

    MOTHER:My son must obey me unless he didn't suck my breast for 1 year WIFE:He sucks mine now & sucked it for more than 5 years and is still sucking MOTHER:I carried him for 9 months WIFE:He was only 3.5 kgs ,so whats the big deal ?I carry him every Night and he is 85kgs now MOTHER:He passed...
  11. nziriye

    Kuna uhusiano gani kati ya maziwa na vumbi?

    Habari zenu wakuu? Mie nimekuwa nikiwaza uhusiano uliopo kati ya kunywa maziwa na kupunguza vumbi ulilovuta,utasikia ukifanya kazi ktk eneo lenye vumbi kunywa maziwa. Please wadau i need to know what is the scientific/biological relationship btn drinking milk and cleaning of dust inhaled
  12. nziriye

    Msaada mwenye kufahamu khs REDD initiative

    Wadau msaada wenu mwenye kujua hii kitu ,kinaanzishwa sana ktk mapori yaliyoifadhiwa na inafaida gani kwa wanakijiji au ndo njia ile ile ya kuwaumiza wanakijiji?
  13. nziriye

    JK VP ?Mwisho wa mwezi umewadia

    ni utaratibu ambao ulijiwekea kuongea na wananchi wako?ni ka njia ulikokaweka kuelezea mambo mbalimbali yanayolikumba taifa..alianza kwa mbwembwe mchakato wa kutoa hotuba kila mwisho wa mwezi ..leo ni trh 31-07-20120 nipo nasubiria kumwona rahisi akiongea ktk kioo cha luninga yangu,mwenye...
  14. nziriye

    Haya ni macho yangu au?

    Wakuu nilikuwa sijui kumbe inawezekana kubadilisha ownership ya website?Is it possible ?kwanini hawa Watu wa Bunge wana transfer ownership kwa Mtu na ina maana gani ?
  15. nziriye

    Msaada please

    Wadau wenzangu ninaomba kwa mwenye gazeti la daily news la tarehe 24th july 2012 atubandikie hapa ktk ukurasa huu,kwani kuna nafasi mbalimbali za kasi za tasaf,nmb and etc ,please nimesaka jana ckubahatika kulipata ila am sure hapa jf ntazipata tu hzo posts
  16. nziriye

    It planted the seed of its own destruction....

    Tanzania tanzania nakupenda kwa moyo wote...ila kuna watu wachache wanaofaidi keki ya taifa na wengi wanaendelea kula nyasi,makundi matatu yametengenezwa kundi la kwanza ni walalahoi(majority),kundi la pili ni walalahai(minority) na kundi la tatu ni walalaheri na ndio hawa wanalalamikiwa...
  17. nziriye

    EROLINK RECRUITING AGENCY...any idea about it?

    It has been along period of time i had not yet been within the forum.....i held several times people talk about this name bt i did not exactly know what is all about ?it is there for who?how are they benefiting from seeking employment for those lack employment.....please asssist
  18. nziriye

    je,maisha ni foleni au?

    Kuna kibwagizo cha wimbo mmoja kinaimba ...maisha ni foleni kila siku inasogeaaaa polepole,mwamini Mungu ipo siku utafanikiwaaa eee...nikiwa nausikia mwimbo huu napata furaha na uchungu kwa pamoja ,FURAHA-inakuja sababu nina imani kuwa kuna siku yaja na mie ntaishi juu ya dola moja ya...
  19. nziriye

    Imetokea loliondo

    Msione kimya wandugu ,nipo LOLIONDO tangu Jumatatu na nipo ktk foleni mtu wa 1690 na foleni inaenda polepole ,kwa nyuma zaidi nawaona mizengo pinda wa 1703,olesendeka 1780,rostam 1900 na wengne wengi ,kwa kule upande wa pili namwona mzee wa upako na mama rwakatare nao wanasubiria...
  20. nziriye

    No hurry in africa........

    It has been a couple of years when my o-level teacher told me this statement.."NO HURRY IN AFRICA",sikutambua wala sikuelewa mana yake nadhani labda nilikuwa sijapanuka ktk upeo wa kudadavua na kuelewa mambo tofauti tofauti.,lakini sasa naelewa na nimegundua ule msemo una mana...
Back
Top Bottom