nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,051
- 361
ni utaratibu ambao ulijiwekea kuongea na wananchi wako?ni ka njia ulikokaweka kuelezea mambo mbalimbali yanayolikumba taifa..alianza kwa mbwembwe mchakato wa kutoa hotuba kila mwisho wa mwezi ..leo ni trh 31-07-20120 nipo nasubiria kumwona rahisi akiongea ktk kioo cha luninga yangu,mwenye information jamani jk kunani pale?hotuba ipo wapi?