Mzee Mwai Kibaki ni Rais mstaafu wa Kenya ambaye alitoka KANU na kujiunga na upinzani na kufanikiwa kushinda kuwa Rais wa tatu wa nchi ya Kenya. Huyu alikuwa na umri wa miaka 70 na kitu alipochaguliwa kuwa Rais.
Ni mtu ambaye hakuwa na maneno mengi kwenye hotuba zake lakini ndiye Rais...
Kwa jinsi kampeni zinavyokwenda ni dhahiri kuwa uchaguzi wa mwaka huu utakuwa na ushindani mkubwa sana kuliko chaguzi za nyuma hasa katika nafasi ya Urais. Hivyo ni muhimu tume ya uchaguzi ikajipanga vyema kuhakikisha zoezi hili linaisha kwa amani na utulivu ili taifa liweze kusonga mbele baada...
ACT-Wazalendo ni chama kipya lakini tangu kimeanza kimekuwa kikifanya harakati nyingi za kisiasa ambazo zinahitaji fedha nyingi. Wakati mwingine wamekuwa wakipambana na vyama vingine vya upinzani kitu ambacho kinatia shaka ni nini dhamira yao na ni wapi wanapata fedha. Wapiga kura tujiulize wapi...
Katika mikutano mbalimbali ya kampeni za CCM,- Magufuli amekuwa akiwaomba wapiga kura kutoiondoa CCM madarakani kwa kutumia mfano wa kitanda chenye kunguni kwa kusema kitanda kikiwa na kunguni hakitupwi wa kuchomwa moto bali kinamwagiwa maji ya moto.
Kwanza inabidi tukiri kuwa Magufuli anakiri...
Kwa taratibu za uchaguzi za Tanzania mshindi wa uchaguzi atakuwa mgombea alitakayepata kura nyingi zaidi.- Wala sio yu
le atakaye fanya mikutano mingi zaidi au kukusanya umati mkubwa wa watu kwenye mikutano.
Kwa kuwa wingi wa kura ndio unaamua mshindi wa uchaguzi ni lazima mgombea wa...
Katika miaka ya hivi karibuni watu wengi wameongeza Dr( PhD) kabla ya majina yao. Ni kweli kuna watu wamestruggle kupata hizo PhDs kwa kukaa darasani na kufanya tafiti kwa muda mrefu, kuna wengine wamejipatia kupitia vyuo uchwara, na kuna wengine wamepewa za heshima. Hizi za heshima hatujua kama...
Kutokana na mbunge wa Iramba Magharibi kutetea bajeti ya serikali kwa nguvu zote na matusi juu dhidi ya CHADEMA wakati wananchi wa jimbo lake wana hali mbaya kimaisha na maendeleo kwa ujumla ninashauri CHADEMA ipeleke makamanda kadhaa kule jimbo la Iramba Magharibi ili kumshitaki huyu mbunge kwa...
Tangu kutangazwa kwa ushindi wa CHADEMA kule ARUMERU kumekuwa na hoja mbalimbali hasa kutoka kwa upande ulioshindwa kueleza sababu za kushindwa kwao. Hoja hizi ninaweza kuziweka kwenye makundi makubwa mawili. Moja ni kuwa CCM kama chama ndicho kimeshindwa na CHADEMA. Pili, Sioyi kama mgombea...
Kutokana na CHADEMA kutangaza kupitia kwa Mnyika kuwa watu watoa mapendekezo ya akina nani watawakilisha CHADEMA kwenye tume katiba mpya, mimi napendekeza hawa.
1.Tindu Lissu-Huyu ni mtaalum wa sheria na mtetezi wa haki za binadamu. Ana ufahamu mzuri wa mambo ya sheria na katiba.
2.Prof...
Siku hizi watu hawahitaji kukusanyika physically kufanya mikutano. Tumieni mtandao wa internet. Anzisheni facebook page na kuitumia kujadili hoja zenu.
Nimesoma kwa makini mapendekezo ya CHADEMA. Kusema ukweli yamenikuna sana. Yamenikuna kwani yameweka masilahi ya Taifa la Tanzania mbele.
Ni kweli suala la kutanga katiba mpya linahitaji uangalifu mkubwa na hekima ya kutosha. Kikubwa zaidi hili zoezi la kutunga katiba mpya linatakiwa liwekwe...
Nimesoma na kusikiliza hotuba ya rais kikwete. Pia nimefuatia maoni ya watu mbalimbali kuhusu hiyo hotuba ya rais kikwete.
Kitu kikubwa nilichogua ni kwamba rais kikwete aliandaa hotuba ile kupinga hoja za chadema. Rais ametaja chadema na mwenyekiti wake ndugu freeman mbowe waziwazi ili...
Wanasiasa wa Tanzania wanatakiwa kujua kuwa kwa sasa watanzania hawajali ni chama gani kinashinda uchaguzi. Wao wanataka kuwa na maisha mazuri. Hivyo basi chama kitakachoonyesha kuwa kitawaletea nafuu ya maisha ya kila siku ndicho kitashinda uchaguzi.
Mwaka jana alikwenda rais Kikwete akawaambia wana Igunga kuwa Rostam Aziz ni mtu muhimu na mchapa kazi ndani ya CCM hivyo achaguliwe. Viongozi wa upinzani walienda wakasema Rostam Aziz ni fisadi yeye pamoja na chama chake hivyo hasichaguliwe
Mwisho wa siku wana Igunga walimchagua Rostam Aziz na...
Nimesoma habari kwenye gazeti la Mwananchi yenye kichwa ``Kampuni saba zaomba kuingiza mafuta nchini``. mimi hili linanisumbua kwa kiasi fulani.
Kati ya hizo kampuni saba ni moja tu ambayo ni ya ndani ya nchi. Kampuni mbili zinatoka Bahamas, tatu zinatoka Singapore na moja Geneva Uswisi.
Nina...
Kifungu hiki cha bajeti kingefaa kuweka nafuu ya kodi kwenye vifaa vya ujenzi ili wananchi waweze kujenga nyumba bora za kuishi kwa bei nafuu. Hii ya kusamehe tu kodi ka NHC haitoshi kwani ni wananchi wachache sana wenye uwezo wa kununua nyumba NHC, pia NHC sina uhakika kama ina uwezo wa kujenga...
Wabunge wa ccm wanashangilia ushindi.
Ni vyema tukakukumbuka kuwa hata siku moja serikali iliyo madarakani haiwezi kuwa na nia ya dhati kubadilisha katiba bila kushinikizwa kufanya hivyo. Na hata pale kunapokuwa na shinikizo serikali inaangalia upepo unaendeaje kwanza. Kama ikiona wananchi...
Kutokana na mwenendo wa mswaada wa kubadilisha katiba naona kuna kamchezo CCM na serikali yake wanacheza kuwaadaa watanzania kuhusu katiba mpya. Mimi naona CCM na serikali yake haina nia ya kuwa na katiba mpya Tanzania.
Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa Mswaada uliondolewa leo bungeni...
Jamani fundi mzuri wa milango ya nyumba anatafutwa kwa kazi ya haraka hapa DSM. Naomba ushauri wenu, anaweza kupatikana wapi? Pia kuna mtu mwenye picha za kazi zake na kama zipo tunaziomba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.