HISIA KALI
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 694
- 108
Nimesoma na kusikiliza hotuba ya rais kikwete. Pia nimefuatia maoni ya watu mbalimbali kuhusu hiyo hotuba ya rais kikwete.
Kitu kikubwa nilichogua ni kwamba rais kikwete aliandaa hotuba ile kupinga hoja za chadema. Rais ametaja chadema na mwenyekiti wake ndugu freeman mbowe waziwazi ili kuonyesha jinsi gani anapinga hoja zao. Pia rais kikwete ametumia ahadi ya dr slaa wakati wa uchaguzi 2010 kuwa kama angechaguliwa angeanzisha mipango ya katiba mpya ndani ya siku 100. Rais kikwete ametumia hoja hizo kuonyesha kuwa chadema pamoja na viongozi wake wanapotosha wananchi kuhusu mchakato wa katiba mpya unavyeendeshwa na serikali.
Sasa wananchi wameshasikia ya rais. Je rais kuna ukweli gani kwenye hii hotuba ya rais kikwete? Swali hili kwa kiasi fulani linatakiwa lijibiwe na chadema hasa mwenyekiti mbowe ambaye ametajwa wazi wazi kwenye hiyo hotuba.
Ni matumaini yangu na dhani pia ya wananchi wengine wengi kutaka kujua je chadema na mbowe wanasemaje kuhusu zile hoja ambazo rais amezielekeza kwao moja kwa moja?
Kitu kikubwa nilichogua ni kwamba rais kikwete aliandaa hotuba ile kupinga hoja za chadema. Rais ametaja chadema na mwenyekiti wake ndugu freeman mbowe waziwazi ili kuonyesha jinsi gani anapinga hoja zao. Pia rais kikwete ametumia ahadi ya dr slaa wakati wa uchaguzi 2010 kuwa kama angechaguliwa angeanzisha mipango ya katiba mpya ndani ya siku 100. Rais kikwete ametumia hoja hizo kuonyesha kuwa chadema pamoja na viongozi wake wanapotosha wananchi kuhusu mchakato wa katiba mpya unavyeendeshwa na serikali.
Sasa wananchi wameshasikia ya rais. Je rais kuna ukweli gani kwenye hii hotuba ya rais kikwete? Swali hili kwa kiasi fulani linatakiwa lijibiwe na chadema hasa mwenyekiti mbowe ambaye ametajwa wazi wazi kwenye hiyo hotuba.
Ni matumaini yangu na dhani pia ya wananchi wengine wengi kutaka kujua je chadema na mbowe wanasemaje kuhusu zile hoja ambazo rais amezielekeza kwao moja kwa moja?