Madaktari kama serikali inawabana kwenye kumbi nawaushauri mtumie internet- mfano facebook

HISIA KALI

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
694
108
Siku hizi watu hawahitaji kukusanyika physically kufanya mikutano. Tumieni mtandao wa internet. Anzisheni facebook page na kuitumia kujadili hoja zenu.
 
Back
Top Bottom