HISIA KALI
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 694
- 108
Wabunge wa ccm wanashangilia ushindi.
Ni vyema tukakukumbuka kuwa hata siku moja serikali iliyo madarakani haiwezi kuwa na nia ya dhati kubadilisha katiba bila kushinikizwa kufanya hivyo. Na hata pale kunapokuwa na shinikizo serikali inaangalia upepo unaendeaje kwanza. Kama ikiona wananchi wengi watakata katiba basi inajifanya inalete hii katiba lakini kimsingi bado wanakuwa hawana nia hiyo. Hiyo inakuwa ni janja ya kuwaadaa tu wananchi ili kuwanyamazisha. Kwa hiyo basi ili kufanikisha nia yao mbaya watafanya kila njia kuhakikisha kuwa katiba mpya inachelewa kwa kadiri inavyowezekana.
Tukumbuke pia msemo wa kiengereza unasema kuwa rights delayed is rights denied. Kimsingi hii ya kuchelewa kwa katiba mpya kwa njia za ujanja ujanja ni sawa na kunyimwa katiba mpya.
Hivyo basi mimi naona wabunge wa ccm kushingilia baada ya tangazo la kurudisha mswaada ni ishara kuwa nia ya chama chao cha ccm na serikali yao imefanikiwa.
Kazi inabaki sasa kwa wadua wa kutaka katiba mpya kugundua huu ujanja wa CCM na serikali yake ili kuwabadana kwa pressure kubwa walete katiba haraka iwezekanavyo.
Ni vyema tukakukumbuka kuwa hata siku moja serikali iliyo madarakani haiwezi kuwa na nia ya dhati kubadilisha katiba bila kushinikizwa kufanya hivyo. Na hata pale kunapokuwa na shinikizo serikali inaangalia upepo unaendeaje kwanza. Kama ikiona wananchi wengi watakata katiba basi inajifanya inalete hii katiba lakini kimsingi bado wanakuwa hawana nia hiyo. Hiyo inakuwa ni janja ya kuwaadaa tu wananchi ili kuwanyamazisha. Kwa hiyo basi ili kufanikisha nia yao mbaya watafanya kila njia kuhakikisha kuwa katiba mpya inachelewa kwa kadiri inavyowezekana.
Tukumbuke pia msemo wa kiengereza unasema kuwa rights delayed is rights denied. Kimsingi hii ya kuchelewa kwa katiba mpya kwa njia za ujanja ujanja ni sawa na kunyimwa katiba mpya.
Hivyo basi mimi naona wabunge wa ccm kushingilia baada ya tangazo la kurudisha mswaada ni ishara kuwa nia ya chama chao cha ccm na serikali yao imefanikiwa.
Kazi inabaki sasa kwa wadua wa kutaka katiba mpya kugundua huu ujanja wa CCM na serikali yake ili kuwabadana kwa pressure kubwa walete katiba haraka iwezekanavyo.