Wanajamvi,
kama member mwingine yoyote, with limited knowledge on what is happening to CCM, nina swali moja tu: Nani anafaa kuwa mbadala wa Lowassa katika CCM presidential candidate??
Nauliza hivi kwasababu agenda ya chama tawala, chama dola na chama kikubwa kuliko vyote afrika mashariki na...
Watoto wa viongozi wa Africa, na ndoto za aibu to western countries
I am dreaming of a day where all the looted money and assets deposited in the outside world will be confiscated and returned to the home countires
Teodoro Nguema Obiang: The lavish looter who could lose it all - Americas -...
Wadau,
Kuthibitisha tu kwamba even our mashirika ya umma na public firms ziko kisiasa zaidi, leo umeme hautazimika hata iweje nchi nzima ili kupisha propaganda za chama tawala. it is more likely to happen
Wasiwasi wangu ni precedent tunayoi-set hapa... kwani hizi luxury ukizizoea siku ya siku...
I saw this on Yahoo and i though it is worth sharing
Top 5 things that drive men crazy
By Laura Schaefer
Men love women. They do. But that doesnt mean women dont drive them crazy. Even after oceans of ink have been spilled about...
Wadau,
This is serious, dogo kaja mbio amechanganyikiwa... he loves siblings, na anvyohisi wote wanampenda na kama na wao hawaelewi wafanyeje, they are scared to ask him and he is scared kwani bado hawajafika ile hatua ya physical nanihii
I told him its ok, ila cha maana ni kufanya maamuzi na...
I cant find better way to describe our national relationship between Tanzania and her very own son, JK
We are a country on our knees, and in this situation.. many poor people expect their leader to lift up his arm make people listen to him and make some tough decision and (in management)...
Wakati watanzania wakiwa bize kuvuta hewa za kerosene na kemikali zote mbaya na hasa kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta hivyo kulazimisha wake zetu kutumia magazeti kuwasha moto, waziri wa giza na masuala yote ya kunufaisha mafisadi, mwanasheria kitaaluma na msukuma wa nguvu sana...
Mdogo wangu dogo Janja, ukitaka kukwea mnazi basi usipige vigelegele
Fanya kazi kwa bidii na suifanye kazi kwa media, tunaopima utendaji wako ni sisi raia wa kawaida
Umeanza kuzidi sasa kutumia camera... be careful, huwa wanachafua vibaya sana hao waandishi wa habari
Hukutumwa kupiga...
Wakuu
so far wabunge wamejitahidi kuwa karibu na wananchi, kufuatilia yanayojiri nk... Ila mbunge wa kigamboni kwakweli ameiangusha kabisa CCM, bado yupo usingizini :hand:
Wakuu, Tanzania ni nchi nzuri na watu wake wana heshima ya ajabu... inasikitisha sana kuona mgeni anakuja, anatukana watoa huduma wetu na mengine mengi, lakini mara nyingi sisi kama watanzania hukaa kimya na kufunika kombe
nimesoma habari moja ya Mpakistani kuchana noti ya Tanzania nikasikitika...
nasikitika kusema kwamba watanzania, tukiongozwa na viongozi wa kidini, kisiasa na mambo ya huduma ya jamii tumeng'ang'ana na kampeni ambazo tunajua kwa zimeshachakachuliwa na kusahau mambo muhimu kwa maendeleo ya jamii yetu
tumelala fofofo kiasi kwamba hatujui hata shida za vijijini zaidi ya...
Wadau wapendwa, leo nimeingia mji wa Mwanza na kwa furaha kubwa saaana tu kuna yeyote aliye mwanza tutafutane jamani??
kituko ni kwamba nimekutana na sewerage inajengwa ukitoka tu airport, furaha iliyoje kupokelewa na hili jambo
Really funny!!!
Hii ni true story kabisaa, kuna dada mmoja kamegwa na mume akagundua, sasa jamaa akamconfront mwizi wake na kumuomba aache... mwizi akaacha, basi imekua tabu nyumbani! mwanamke anashindana kulazimisha jamaa waendelee kwani mme anamsimanga nyumbani kwa kuachwa na sasa anaitumia...
Wanajamii;
nimeamka na kukuta kwenye news headline mambo ya Richmond, Dowans, EPA, BOT wtin tower, kipindupindu, kingunge bado mbuge, manji bado ni mwanachama wa nguvu CCM, rostam hajafungwa, kikwete napanda pipa tena.
zaidi ya hapo eti bado kwenye soka kuna timu mbili tu, yaani yanga na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.