Nipo mwanza leo - wa mwanza mpo?

Janjaweed

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
13,157
10,655
Wadau wapendwa, leo nimeingia mji wa Mwanza na kwa furaha kubwa saaana tu kuna yeyote aliye mwanza tutafutane jamani??

kituko ni kwamba nimekutana na sewerage inajengwa ukitoka tu airport, furaha iliyoje kupokelewa na hili jambo
 
maendeleo hayo kaka...fikiria kabla ya hapo mambo yamekuwaje!..Mwanza watu kibao, we tulia utawaona ukiwaelekeza ulipo!
 
Back
Top Bottom