Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Wanajamii;
nimeamka na kukuta kwenye news headline mambo ya Richmond, Dowans, EPA, BOT wtin tower, kipindupindu, kingunge bado mbuge, manji bado ni mwanachama wa nguvu CCM, rostam hajafungwa, kikwete napanda pipa tena.
zaidi ya hapo eti bado kwenye soka kuna timu mbili tu, yaani yanga na simba!!
huu ni mwaka gani??
nimeamka na kukuta kwenye news headline mambo ya Richmond, Dowans, EPA, BOT wtin tower, kipindupindu, kingunge bado mbuge, manji bado ni mwanachama wa nguvu CCM, rostam hajafungwa, kikwete napanda pipa tena.
zaidi ya hapo eti bado kwenye soka kuna timu mbili tu, yaani yanga na simba!!
huu ni mwaka gani??