Tanzania tuko serious

Janjaweed

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
13,157
10,655
nasikitika kusema kwamba watanzania, tukiongozwa na viongozi wa kidini, kisiasa na mambo ya huduma ya jamii tumeng'ang'ana na kampeni ambazo tunajua kwa zimeshachakachuliwa na kusahau mambo muhimu kwa maendeleo ya jamii yetu

tumelala fofofo kiasi kwamba hatujui hata shida za vijijini zaidi ya kakomalia hoja za jk, slaa na lipumba

sioni mwanga mbele kwani tunashindwa kumuuliza jk maswali magumu, tumekua bize kuangalia matukio yasiyobadili maisha yetu

nchi hii ina usingizi
 
nasikitika kusema kwamba watanzania, tukiongozwa na viongozi wa kidini, kisiasa na mambo ya huduma ya jamii tumeng'ang'ana na kampeni ambazo tunajua kwa zimeshachakachuliwa na kusahau mambo muhimu kwa maendeleo ya jamii yetu

tumelala fofofo kiasi kwamba hatujui hata shida za vijijini zaidi ya kakomalia hoja za jk, slaa na lipumba

sioni mwanga mbele kwani tunashindwa kumuuliza jk maswali magumu, tumekua bize kuangalia matukio yasiyobadili maisha yetu

nchi hii ina usingizi
Hapo umenena. Nashangaa tangu kampeni zianze mgombea haulizwi mbali kuendelea kudanganya kuwa tumefanyaa...... tutafanyaa......Wanachi wakiendelea kupiga makofi. Sielewi wanafurahia nini. Ila huko Mza nimeona kulikuwa na dalili za kukachwa hadi walifanya jitihada za ziada za kuwabeba wanafunzi na magari ili waujaze uwanja. Sijui tutautwanga usingizi hadi lini....?:confused2:
 
nasikitika kusema kwamba watanzania, tukiongozwa na viongozi wa kidini, kisiasa na mambo ya huduma ya jamii tumeng'ang'ana na kampeni ambazo tunajua kwa zimeshachakachuliwa na kusahau mambo muhimu kwa maendeleo ya jamii yetu

tumelala fofofo kiasi kwamba hatujui hata shida za vijijini zaidi ya kakomalia hoja za jk, slaa na lipumba

sioni mwanga mbele kwani tunashindwa kumuuliza jk maswali magumu, tumekua bize kuangalia matukio yasiyobadili maisha yetu

nchi hii ina usingizi

Mkuu vipi hii imetokea Sudan?
 
Back
Top Bottom