Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
nasikitika kusema kwamba watanzania, tukiongozwa na viongozi wa kidini, kisiasa na mambo ya huduma ya jamii tumeng'ang'ana na kampeni ambazo tunajua kwa zimeshachakachuliwa na kusahau mambo muhimu kwa maendeleo ya jamii yetu
tumelala fofofo kiasi kwamba hatujui hata shida za vijijini zaidi ya kakomalia hoja za jk, slaa na lipumba
sioni mwanga mbele kwani tunashindwa kumuuliza jk maswali magumu, tumekua bize kuangalia matukio yasiyobadili maisha yetu
nchi hii ina usingizi
tumelala fofofo kiasi kwamba hatujui hata shida za vijijini zaidi ya kakomalia hoja za jk, slaa na lipumba
sioni mwanga mbele kwani tunashindwa kumuuliza jk maswali magumu, tumekua bize kuangalia matukio yasiyobadili maisha yetu
nchi hii ina usingizi