Unapofanya tendo la ndoa na Mtu yeyote, unajenga muunganiko wa kiroho na kimihemko, na huyo mtu.
Ni jambo gumu sana kumsahau mtu ambaye mlikuwa na uhusiano wa namna hiyo, hamjaachana Kwa vita au uhasama mkubwa. Kila mkionana miili yenu na roho zenu zitashabihiana.
Haijalishi miaka mingapi...
Inaaminika kuwa ni ujanja kula Hela ya mtu na kukimbia na kutangaza kuwa sio taipu yangu, mshamba, kajipendekeza etc.
Spiritually ( kiroho) mtu akikupa kitu chake, ukapokea, tayari umejiunganisha naye chochote atakachotamka dhidi yako kitakupata, akikulaani, laana hiyo itakupata, hujaolewa/...
Nimeona Viongozi wa awamu mbalimbali nchini,kwenye kada tofauti,kasoro mkoloni.katika medani ya siasa na uongozi maeneo mbalimbali, wengi wao wamepata umaarufu baada ya kuondoka madarakani,walipigwa Kwa maneno magumu ya kuwalalamikiwa na kuwalaani wakiwa madarakani.
Kila mtu ni malaika akiwa...
Wafanyakazi kutoka nje ambao wamefanyakazi hapa nchini. Kwa miaka mingi, wanalipwa mafao yao yote bila kujali kikokootoo. Kuna haja kuhusisha wenye mafao katika kuamua wapewe kiasi gani, kuepuka double standard
Kuna Tatizo la Watanzania kufikiri na kufanya Maamuzi magumu yenye manufaa. Makadirio Kwa makampuni wanaruhusiwa kujikadiria kupitia kwenye mfumo bila Tatizo, japo nao mtandao wakati Mwingine ni tatizo.
Shida ipo Kwa Watu binafsi na walipa Kodi ambao hawajasajili makampuni tunazuiwa kufanya...
Usitafute maisha yasiyo na changamoto, utafeli asubuhi, ukifanikiwa katika maisha utakuna na changamoto zake, ukifeli pia utakuna na changamoto.
Ukiwa na Elimu kubwa, ukikosa Elimu, ukiwa juu, ukiwa chini, ukisali na kuabudu, pia usiposali na kuabudu, changamoto zipo.
Changamoto zinaleta radha...
Kila ukisikiliza taarifa za watu waliopotelewa na ndugu, utashangaa sana, Polisi, wanawaelekeza wamempeleka mtuhumiwa kituoni, Wakienda kituoni Baadae hayupo!
Wizara iweke Kanuni ya kutoruhusu Mtuhumiwa kukamatwa bila Mtuhumiwa kuwa na Shahidi atakayejiridhisha wapi mtuhumiwa...
Nchi yetu inakuwa Kwa kasi, Ujenzi wa Makazi, Biashara,Viwanda. zinaongezeka Kila kukicha, Tunashukuru Mungu.Viongozi wetu wanapaswa kwenda na kasi hiyo katika mipango yao.
Miaka michache ya utawala uliopita ilionekana tatizo la Umeme limedhibitiwa. Umeme wetu unatumia vyanzo vya maji, Gesi na...
Nimechunguza watu walioiba, wakafungua biashara nyingi na kujenga majumba, kununua hisa na viwanja. Kwa hela halamu za rushwa na wizi. Viongozi wengi wakitoka madarakani, afya zina yumba, biashara zinakosa kinga, watoto wanaobakia hawajari namna mzazi alivyotunza mali za wizi/rushwa nk...
CCM ni chama kikongwe, kilichojaa wanachama wa Kila aina za tabia, watu Wazuri, wezi, wanyang'anyi, waporaji, wauaji n. K , Mambo yake mabaya yanakera na kuhatarisha usalama na amani ya nchi.
Tukitazama upande wa mfumo wa kisiasa ambao inabidi mbadala wa CCM apatikane kwenye mfumo wa vyama...
Tumejikita kwenye Mjadala wa BANDARI, lakini pia tuangalie athari za kuadimika Kwa US Dollars, Kuna Athari kwenye Mikataba yenye kulipwa Kwa Us dollars bill; ukiwa na safari za nje ni ghari mno.
Kibaya, kunatokana na supply ya US dollars kuwa ndogo, Waziri wa Fedha aeleze, tatizo n Nini? Mpaka...
CCM imejenga Mfumo wa kuendelea kuhodhi madaraka Kupitia vyombo mbalimbali vya Utawala,Maamuzi na Dola. havijawekwa kwa bahati mbaya. Toka enzi za Mwasisi wa Taifa,aliweka Katiba,kanuni zinazotoa nafasi kubwa kwa CCM kushinda.
Wapinzani ni Muhimu Sana katika nchi kwakuwa wanapima na kupendekeza...
Kuna kampeni ya kutumia Lugha zetu za kiafrika katika kuwasilisha Matangazo ya Mpira Mashindano ya kombe la Dunia.
Hawa Watangazaji ni Vishoka,hawana umahili wa kuwafahamu Wachezaji na kutangaza mpira! Wajanjawajanja tu Wanasoma historia za matukio ya timu na Wachezaji! Hakika wanaondoa radha...
Nimenunua umeme wa Luku,juzi Kupitia njia ya simu! Hele zimekatwa,token sijapewa,nimepiga huduma kwa wateja nirudishiwe Mwamala wangu,siku ya pili nazungushwa! Subiri,hatujui Lini mtandao utakaa sawa ili urudishiwe hela zako!
Naomba TCRA waingilie hili swala la usumbufu na Dhuluma kwa...
Nimeona Magazeti Makubwa kama Mwananchi, Nipashe yamebeba kichwa Cha habari eti "MBOWE ALIA NJAA"
Alichokizungumza MBOWE ni Haki ya mtu kuvunjwa! Inakuweje iitwe kulia njaa? Pia issue hiyo sio ya kwake peke yake inaonyesha wafungwa wengi ni wahanga.
Kwanini hivi vipeperushi vimejaa njaa...
TARURA, TANROAD, LATRA, MKUU wa MKOA DSM.
Barabara ya Banana Mpaka kitunda Mwanagati,ni kero nzito kwetu,Wakina Mama waja wazito, Watoto wa Shule,wafanyabiashara na wakazi kwa ujumla.
Kuna km 1 ya Rami imeharibika,ipo kiwango Cha kokoto Sasa zaidi ya miaka mitatu, eneo Makaburini mpaka kitunda...
Tumeletewa Mkandarasi wa kuzoa takataka na uongozi wa Serikali ya Eneo letu, takataka zinachukuliwa baada ya wiki mbili. Naomba watu wanaohisika na Afya na Mazingira waingilie swala Hili na kuzuia huu wizi na kuepuka kurundika takataka kwa mda mrefu kama huko!
Watu wakishatoa rushwa na kupokea...
Rais anadanganywa na wanaomzunguka! Alianza akiwa na nia safi, anataka kufuta watu machozi kwa kutenda HAKI. Amekonga mioyo yetu kwa kuachia baadhi ya watu waliohujumiwa haki zao na vyombo vya dola.
Hao waliomzunguka ndio waliokuwa wanasifia Maovu ya mtangulizi wako, Leo unawasikiliza badala ya...
Watu wengi wanaotuongoza kwa ridhaa yetu au bila ridhaa yetu, wanabaki kuwa Viongozi katika kipindi hicho.
Wengi wana hulka za kibinadamu za kujipendelea wenyewe kunufaisha mfumo wao na familia zao. Tunahitaji mabadiliko ya FIKRA za watu, kwakuwa hata wasio na madaraka wakipata madaraka hawana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.