Ni kweli tunatamani anguko la CCM, lakini nani Mbadala wake?

BOB LUSE

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
3,584
2,898
CCM ni chama kikongwe, kilichojaa wanachama wa Kila aina za tabia, watu Wazuri, wezi, wanyang'anyi, waporaji, wauaji n. K , Mambo yake mabaya yanakera na kuhatarisha usalama na amani ya nchi.

Tukitazama upande wa mfumo wa kisiasa ambao inabidi mbadala wa CCM apatikane kwenye mfumo wa vyama. umejaa watu wale wale,wenye kasoro nyingi, Uovu, Hila,wasio na itikadi ya Dhati, wako tayari kununuliwa na kuunga mkono CCM wakati wowote wakifikiana Maslahi, hawako tayari kuhesabiwa Kwa wanachokiamini na kukisimamia, Leo wanaongea hili, kesho lile.Mfano COVID-19, kumkaribisha Lowasa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.n.k

Kweli CCM ni Vibaka wazoefu, lakini Hawa ndugu zetu wa upande wa pili, wako tayari kudhaminiwa? Nchi ipi ilikabidhiwa nchi ikiwa na upinzani uliong'olewa kama huu?

Nchi hazifanyiwi majaribio, Vyama vya Siasa vimeshindwa kuwa na utulivu, uvumilivu wa Viongozi wake ni kuhama na kuhamia na kuanzisha vyama, kwenda CCM! Kuna ombwe la uongozi baada ya Jpm kuvuruga umoja katika vyama hivyo.

Mungu ibariki Tanzania,Tupate Viongozi wasio na price tag.
 
Bado tuna safari kidogo ya upinzani kutoka vyama vingine..lakini kama ambavyo Nyerere alisema mpinzani wa kweli atatoka ccm. Mfano JPM alikuwa mpinzani wa kweli kutoka CCM..huyu alikuwa mpinzani hadi kwa wanaccm vimeo.
 
CCM ni chama kikongwe, kilichojaa wanachama wa Kila aina za tabia, watu Wazuri, wezi, wanyang'anyi, waporaji, wauaji n. K , Mambo yake mabaya yanakera na kuhatarisha usalama na amani ya nchi.
Chadema wanaweza!
 
CCM ni chama kikongwe, kilichojaa wanachama wa Kila aina za tabia, watu Wazuri, wezi, wanyang'anyi, waporaji, wauaji n. K , Mambo yake mabaya yanakera na kuhatarisha usalama na amani ya nchi.

Tukitazama upande wa mfumo wa kisiasa ambao inabidi mbadala wa CCM apatikane kwenye mfumo wa vyama. umejaa watu wale wale,wenye kasoro nyingi, Uovu, Hila,wasio na itikadi ya Dhati, wako tayari kununuliwa na kuunga mkono CCM wakati wowote wakifikiana Maslahi, hawako tayari kuhesabiwa Kwa wanachokiamini na kukisimamia, Leo wanaongea hili, kesho lile.Mfano COVID-19, kumkaribisha Lowasa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.n.k

Kweli CCM ni Vibaka wazoefu, lakini Hawa ndugu zetu wa upande wa pili, wako tayari kudhaminiwa? Nchi ipi ilikabidhiwa nchi ikiwa na upinzani uliong'olewa kama huu?

Nchi hazifanyiwi majaribio, Vyama vya Siasa vimeshindwa kuwa na utulivu, uvumilivu wa Viongozi wake ni kuhama na kuhamia na kuanzisha vyama, kwenda CCM! Kuna ombwe la uongozi baada ya Jpm kuvuruga umoja katika vyama hivyo.

Mungu ibariki Tanzania,Tupate Viongozi wasio na price tag.
Hata wakoloni walikuwa wanasema hatuwezi kujitawala, hivyo unachosema ww ni matamanio yako na sio uhalisia. Kama CCM wameweza kuongoza nchi hii, hakuna mtu au chama chochote kitashindwa.
 
Bado tuna safari kidogo ya upinzani kutoka vyama vingine..lakini kama ambavyo Nyerere alisema mpinzani wa kweli atatoka ccm. Mfano JPM alikuwa mpinzani wa kweli kutoka CCM..huyu alikuwa mpinzani hadi kwa wanaccm vimeo.
Huyu huyu fisadi aliyekutwa na Bil.100 au Kuna mwingine?
 
CCM ni chama kikongwe, kilichojaa wanachama wa Kila aina za tabia, watu Wazuri, wezi, wanyang'anyi, waporaji, wauaji n. K , Mambo yake mabaya yanakera na kuhatarisha usalama na amani ya nchi.

Tukitazama upande wa mfumo wa kisiasa ambao inabidi mbadala wa CCM apatikane kwenye mfumo wa vyama. umejaa watu wale wale,wenye kasoro nyingi, Uovu, Hila,wasio na itikadi ya Dhati, wako tayari kununuliwa na kuunga mkono CCM wakati wowote wakifikiana Maslahi, hawako tayari kuhesabiwa Kwa wanachokiamini na kukisimamia, Leo wanaongea hili, kesho lile.Mfano COVID-19, kumkaribisha Lowasa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.n.k

Kweli CCM ni Vibaka wazoefu, lakini Hawa ndugu zetu wa upande wa pili, wako tayari kudhaminiwa? Nchi ipi ilikabidhiwa nchi ikiwa na upinzani uliong'olewa kama huu?

Nchi hazifanyiwi majaribio, Vyama vya Siasa vimeshindwa kuwa na utulivu, uvumilivu wa Viongozi wake ni kuhama na kuhamia na kuanzisha vyama, kwenda CCM! Kuna ombwe la uongozi baada ya Jpm kuvuruga umoja katika vyama hivyo.

Mungu ibariki Tanzania,Tupate Viongozi wasio na price tag.
Watu wengi wenye mawazo duni wanaamini kwamba Madaraka ya nchi ni kwa familia za Viongozi tu , hawajiamini , wanaona kama vile wamelaaniwa

JamiiForums-787880945.jpg
 
Bado tuna safari kidogo ya upinzani kutoka vyama vingine..lakini kama ambavyo Nyerere alisema mpinzani wa kweli atatoka ccm. Mfano JPM alikuwa mpinzani wa kweli kutoka CCM..huyu alikuwa mpinzani hadi kwa wanaccm vimeo.
Mpaka leo sijajua kwanini samia alikuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa bawacha; kama nisivyojua kwanini samia ndiye mgeni rasmi Simba day.
 
Bado tuna safari kidogo ya upinzani kutoka vyama vingine..lakini kama ambavyo Nyerere alisema mpinzani wa kweli atatoka ccm. Mfano JPM alikuwa mpinzani wa kweli kutoka CCM..huyu alikuwa mpinzani hadi kwa wanaccm vimeo.
Karne ya 21 hii bado unatuletea story za matamanio ya mtu wa karne ya 20! Nyerere hakuwa ana akili yoyote nje ya CCM wakati huo, akiamini dunia ni CCM, matokeo yake akatufikisha mahali tukaishia kuvaa viraka. Ile siasa yake ya kijinga ya ujamaa na kujitegemea ikatufanya tukawa mafukara, siasa ya kibepari aliyotuongopea ni mbaya na iliyokuwa ikifuatwa na Kenya, ndio wakawa wanatuletea bidhaa za viwandani tena kwa dharau kubwa.

Usituletee mitazamo ya yule mzee aliyetufanya tukawa makondoo na umasikini mkubwa. Kama unaamini hizo porojo za Nyerere ziamini kimpango wako.
 
CCM ni chama kikongwe, kilichojaa wanachama wa Kila aina za tabia, watu Wazuri, wezi, wanyang'anyi, waporaji, wauaji n. K , Mambo yake mabaya yanakera na kuhatarisha usalama na amani ya nchi.

Tukitazama upande wa mfumo wa kisiasa ambao inabidi mbadala wa CCM apatikane kwenye mfumo wa vyama. umejaa watu wale wale,wenye kasoro nyingi, Uovu, Hila,wasio na itikadi ya Dhati, wako tayari kununuliwa na kuunga mkono CCM wakati wowote wakifikiana Maslahi, hawako tayari kuhesabiwa Kwa wanachokiamini na kukisimamia, Leo wanaongea hili, kesho lile.Mfano COVID-19, kumkaribisha Lowasa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.n.k

Kweli CCM ni Vibaka wazoefu, lakini Hawa ndugu zetu wa upande wa pili, wako tayari kudhaminiwa? Nchi ipi ilikabidhiwa nchi ikiwa na upinzani uliong'olewa kama huu?

Nchi hazifanyiwi majaribio, Vyama vya Siasa vimeshindwa kuwa na utulivu, uvumilivu wa Viongozi wake ni kuhama na kuhamia na kuanzisha vyama, kwenda CCM! Kuna ombwe la uongozi baada ya Jpm kuvuruga umoja katika vyama hivyo.

Mungu ibariki Tanzania,Tupate Viongozi wasio na price tag.
Kila lenye mwanzo Lina mwisho,

CCCm uzee umefika, andikeni mrithi tumjue mapema.

Kuandika mrithi Si uchuro,

Yakobo kabla ya kufa alitaja mrithi.

Ile kauli ya wazuri hawafi ilikuwa Ulevi tu kama ulevi mwingine!!!
 
Kweli CCM ni Vibaka wazoefu, lakini Hawa ndugu zetu wa upande wa pili, wako tayari kudhaminiwa? Nchi ipi ilikabidhiwa nchi ikiwa na upinzani uliong'olewa kama huu?

Nchi hazifanyiwi majaribio, Vyama vya Siasa vimeshindwa kuwa na utulivu, uvumilivu wa Viongozi wake ni kuhama na kuhamia na kuanzisha vyama, kwenda CCM! Kuna ombwe la uongozi baada ya Jpm kuvuruga umoja katika vyama hivyo.
Hili ndilo tatizo kubwa linalotukabili ktk nchi yetu. Watu tunaweza tukawa tayati kuiondoa ccm, lakini tumuweke nani?
Hawa chama chetu cha upinzani kwa kweli hawako tayari kuaminiwa na kukabidhiwa dhamana ya kuongoza nchi. Kama bado wanawaza kutuletea mgombea ambaye dishi limeyumba kiasi hicho kugombea urais, hivi kweli tunaweza kuwaona wako serious?
Kufanyia nchi yetu majaribio ya aina hiyo ni hatari sana kwa uwepo wetu kama taifa.
 
Nchi ni kubwa Kuliko Manpower yao

Hii ndio husababisha mkwamo! Hata katika wabaya, kuna mwenye nafuu. Ninatamani anguko la CCM na mwingine achukue uongozi. Bila mwingine kuchukua, CCM haitajifunza wala mwingine hata kama atakuwa na uwezo kuliko CCM naye pia hatahifunza. Akiondoka CCM atarekebisha kutaka kurudi, kadhalika atakayechukua atafanya tofauti na CCM ili aendelee kubaki.

Tusitafute perfection. Tutafute change, hata kama ina gharama!!
 
Nchi hazifanyiwi majaribio, Vyama vya Siasa vimeshindwa kuwa na utulivu, uvumilivu wa Viongozi wake ni kuhama na kuhamia na kuanzisha vyama, kwenda CCM! Kuna ombwe la uongozi baada ya Jpm kuvuruga umoja katika vyama hivyo.
Kwa sasa hivi, chama chochote kinachoweza kuwaondoa CCM madarakani ni bora zaidi ya CCM.
Wewe ni mtu wa CCM, kwa hiyo elewa hivyo; kwamba hata kile chama cha 'Ubwabwa' ni bora kuliko kubaki na majambazi ya CCM madarakani.

Watu kama wewe sijui akili zenu mmezificha wapi kutoelewa ilipotufikisha CCM hii. Unataka tufikie hatua gani ndipo ujue ubaya wa CCM?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom