Tatizo la viongozi wengi katika serikali wanasubiri mpk kila kitu waambiwe na namba moja. Yaani ata kutekeleza baadhi ya majukumu yao wanashindwa .wamejawa hofu na ndio wanamkwamisha mpendwa namba moja wetu.nashukuru juzi aliwachana pale bandarini.
Wanabodi nachukua fursa hii kuwatakia afya njema. Nami naomba nichukue fursa hii kutoa maoni yangu juu ya yale aliyoyazungumza Mh. Jesca Kishoa mbunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA na mke halali wa mwanasiasa David Kafulila.
Mapema katikati ya wiki hii David Kafulila ambaye alikua mwanachama...
Hii ni political propaganda inaruhusiwa kabisa kwakua ni vyama hivi viwili vyenye ushindani wa hali ya juu. MFANO ni rahisi kwa simba kumsajili mchezaji kutoka yanga wakidhani wanabomoa yanga wakati huo huo kuna mchezaji wa lipuli au mbao ana uwezo sawa na yule waliemsajili kutoka Yanga.
Umesema sahihi sana.Naomba nichangie kwenye ili la utitiri wa vyombo vya habari.
Ingawa uwepo wa vyombo vingi vya habari unatoa fursa za ajira kwa wananchi wenzetu.Lakini ni wakati wa kuangalia sheria ya uanzishwaji wa vyombo hivi.Sasa hivi imekua kama "fasheni" kila mkoa kuwa na either kituo...
Wakuu heshima kwenu.
jumuiya ya wanasheria nchini inatarajiwa kufanya uchaguzi baadae mwezi huu kupata viongozi mbalimbali watakao ongoza jumuiya hiyo kwa muda husika kikatiba.
Tofauti na chaguzi zingine zilizopita za jumuiya hii( TLS) ,uchaguzi huu umeonekana kuingiliwa na watu ata ambao sio...
Mkuu Paskali una uhakika upi kuwa bandiko lako ndio lilisababisha ongezeko la uteuzi wa wabunge wanawake? Je huoni kuwa ongezeko lilikuja baada ya mkuu kugundua kuwa ameenda kinyume na katiba hivyo kumfanya amteua mbunge mmoja wa kiume kuwa balozi ili asionekane kavunja katiba.
Pili hoja yangu...
Sio kweli...sema hatuna wanawake maarufu wenye sifa za kuteuliwa kuwa wabunge wa viti maalumu.Lakini tuna wanawake wengi nchini ambao sio maarufu lakini wana sifa za kuteuliwa kuwa wabunge viti maalumu.
Wakuu.
Takribani siku kadhaa kumeibuliwa tuhuma nzito juu ya mkuu wa mkoa wa Dar kijana mtendaji na mbunifu Paul C Makonda kuhusu elimu yake .
Uzito wa tuhuma hii ndio umenifanya kuandika uzi huu ili waliokaribu na Mh Rc wamshauri kujitokeza hadharani na kujibu tuhuma hizi.
Ni kweli kuwa...
Bahati mbaya ni kuwa kila mwenye nia ya dhati ya kuisadia jamii ya kitanzania uwa anaishia kuchafuliwa kukatishwa tamaa kubebeshwa lundo la tuhuma nk ili mradi kuuwa nia na dhamira yake ya dhati katika kuikomboa nchi hii.
Tangu kuteuliwa kwa Paul Makonda kuwa Mkuu wa wilaya ya kinondoni na baadae kupandishwa cheo kuwa mkuu wa mkoa wa Dar kijana Paul Makonda ameonyesha kipaji cha hali ya juu sana katika kufanikisha maendeleo na kubuni mambo mbalimbali katika maeneo yake ya utawala.
Makonda akiwa Mkuu wa wilaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.