buswelu moja
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 226
- 147
Mimi najiuliza kitu kimoja jukumu mojawapo la Media ni kufichua na kuibua mambo hadharani habari hizi zilianza kama tetesi sasa zinakua kwa kasi ushauri wangu nyie watu wa media mtafuteni katibu mkuu wa Nacte aulizwe vp kuhusu tuhuma za bwana huyu hapo watapata pa kuanzia hata kama wamenyimwa ushirikiano. Media play your role