Wanaoujiunga CCM wanatoka CHADEMA peke yake?

Hii ni political propaganda inaruhusiwa kabisa kwakua ni vyama hivi viwili vyenye ushindani wa hali ya juu. MFANO ni rahisi kwa simba kumsajili mchezaji kutoka yanga wakidhani wanabomoa yanga wakati huo huo kuna mchezaji wa lipuli au mbao ana uwezo sawa na yule waliemsajili kutoka Yanga.
 
Back
Top Bottom