Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

Screenshot_2017-11-28-19-01-37-1.png

Makamu wa Rais mama yetu Samia Suluhu alipomtembelea Tundu Lissu Hospital leo.
 
Mama samia na mabalozi ni serikali ya ccm chini ya magufuli! je hawawezi kuwa na vibastola wakammalizia Lissu?

kuna wakati chuki ikizidi inapofua ufahamu wetu!

Bado ninaamini mhusika wa tukio yuko huru wala hajawaziwa, huyu muuaji anafurahia sana mawazo yenu maana mnawaza upande mmoja

mimi siko kama hao!

Taratibu, issue inaanza kuwa dissolved mtu pekee ambaye angemsaidia Lissu ni Magufuli tu! Lissu atabaki peke yake, kuwa serikali ilihusika haitakuwa na nguvu tena, 'mhusika halisi yuko huru'

Magufuli is innocent, I repeat Magufuli is innocent

pia ni muda wa kuweka evidences kwa tuhuma zozote zile
Your AGE, please? (For, If you're not a kid)nimehisi kama katika ukuaji wako, kuna miaka KADHAA ubongo wako ulistuck, ukaacha sehemu nyingine za mwili wako zikue peke yake?
 
Huu ndio utu na ubinaadamu, Mungu ambariki sana huyu mama.

Yaani huyu balozi wetu Dr. Pindi Chana, she used to be a very confident lady, sijui confidence yake imepotelea wapi hadi kushindwa kumtembelea Lissu siku zote hizi, lazima Balozi ajisikie aibu, yeye yuko Nairobi kumtembelea Mtanzania, Mbunge, Rais wake wa TLS (Pindi ni Lawyer), Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, ni mpaka VP aje ndipo na yeye aende kumuona Lissu!.

All and all, better late than never.

Wamefanya uungwana mkubwa.

Paskali.
Tatizo la viongozi wengi katika serikali wanasubiri mpk kila kitu waambiwe na namba moja. Yaani ata kutekeleza baadhi ya majukumu yao wanashindwa .wamejawa hofu na ndio wanamkwamisha mpendwa namba moja wetu.nashukuru juzi aliwachana pale bandarini.
 
Uzuri wa huyu mama ana busara nyingi sana pia sio mnafiki.
 
Sijui ndio kutupoza na machungu ya uchaguzi wa madiwani?

Anyway,tunashukuru mama kwa utu wako angalau umekuwa tofauti na wenzako.
 
wapi ofisin kwa sizonje hapatamaniki huko . ni mwendo wa mateke . viti havitamaniki
 
Back
Top Bottom