Raisi ndio kamtuma makamu wa raisi ahudhurie sherehe za Kenyatta na apitie hospitali amuone Lisu kwa niaba yakeAnaenda kinyume na "mtakatifu". Ngoja tusubiri , kuna mmoja aliambiwa 'anavipele'
Your AGE, please? (For, If you're not a kid)nimehisi kama katika ukuaji wako, kuna miaka KADHAA ubongo wako ulistuck, ukaacha sehemu nyingine za mwili wako zikue peke yake?Mama samia na mabalozi ni serikali ya ccm chini ya magufuli! je hawawezi kuwa na vibastola wakammalizia Lissu?
kuna wakati chuki ikizidi inapofua ufahamu wetu!
Bado ninaamini mhusika wa tukio yuko huru wala hajawaziwa, huyu muuaji anafurahia sana mawazo yenu maana mnawaza upande mmoja
mimi siko kama hao!
Taratibu, issue inaanza kuwa dissolved mtu pekee ambaye angemsaidia Lissu ni Magufuli tu! Lissu atabaki peke yake, kuwa serikali ilihusika haitakuwa na nguvu tena, 'mhusika halisi yuko huru'
Magufuli is innocent, I repeat Magufuli is innocent
pia ni muda wa kuweka evidences kwa tuhuma zozote zile
Tatizo la viongozi wengi katika serikali wanasubiri mpk kila kitu waambiwe na namba moja. Yaani ata kutekeleza baadhi ya majukumu yao wanashindwa .wamejawa hofu na ndio wanamkwamisha mpendwa namba moja wetu.nashukuru juzi aliwachana pale bandarini.Huu ndio utu na ubinaadamu, Mungu ambariki sana huyu mama.
Yaani huyu balozi wetu Dr. Pindi Chana, she used to be a very confident lady, sijui confidence yake imepotelea wapi hadi kushindwa kumtembelea Lissu siku zote hizi, lazima Balozi ajisikie aibu, yeye yuko Nairobi kumtembelea Mtanzania, Mbunge, Rais wake wa TLS (Pindi ni Lawyer), Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, ni mpaka VP aje ndipo na yeye aende kumuona Lissu!.
All and all, better late than never.
Wamefanya uungwana mkubwa.
Paskali.
Kwa sababu imekuwa kama ndoto mtu karibu ana miezi mitatu kitandani leo ndio unaenda kumtembelea, kwa hulka ya mtanzania na kibinadamu ni kama ajabu vile.Kwa hiyo kutembelea wagonjwa imekua breaking news siku hizi!!?
Huyo baloz mnafki,atakua leo kalazimishwa,Hivi balozi huyo ndiyo Mara yake ya kwanza kwenda hapo kumtembelea lissu!
Ova
Dah...amtumbue wakati yeye ndiyo kamtumaAtatumbuliwa